Ndugu wahitimu wa kidato cha sita, nachukua fulsa hii kuwapongeza kwa kuchaguliwa kujiunga na vyuo vikuu mbalimbali ndani na nje ya nchi ya nchi.
Nianze barua yangu kwa kuzungumzia changamoto za...
Habari wakuu!
Naomba kuuliza hivi mtu akikuambia nataka unibebe tuchangie hostel, ina maana itakua tunalala kitanda kimoja au ananunua godoro lake, anashusha chini analala? Au ni Vipi, kwa sababu...
1. Kuongezeka kwa vibaka na wizi mtaani.
2. Uchumi kuwa palepale.
Maana kheri kuwa na wasomi wengi hata kama hawana kazi watajiajiri na kuweza kulipa kakipato kama kodi kwa serikali.
3...
kama umechaguliwa Mzumbe University, hii ni nafasi ya kukutana na wenzio katika group la WhatsApp. Admin anapatikana kwa namba 0712586027, tutakuwa pamoja chuoni hapo mi nikiwa kaka yenu wa mwaka...
Msaada,jamani nawezaje kupata joining instructions ya chuo cha saut Arusha centre.au kama wana website yao mana mi sijaona kwa mtandao ipo web ya saut main campus pek ake.nifanyeje au nipate vp...
*UMOJA WA VIJANA WANAOSUBIRIA AJIRA (UVITA)*
Tumekuwa tukidharaulika sana mitaani kwa kukosa *ajira* lakini pia kwa kuswema vibaya kuwa sisi ni wazembe kwanini hatujishughulishi na mambo mengi ya...
Habari za humu ndani wakuu,
Naomba kujuzwa kwa mtu anaetamani kusoma coz ya flight attendant ngazi ya certificate anatakiwa kuwa na ufaulu upi na wa masomo yapi? Pia chuo kipi ni best kwa kozi hii...
Nna rafiki yangu ambaye mimi ni kama kaka yangu wa mtaa amehustle kutoka o level mpaka A level kwakua hana mtu yeyote wa kumtegemea kajisomesha kwa bodaboda wiki shule wiki mtaani o level alifail...
Naombeni kuuliza jamani,
Niliomba nafasi ya chuo kwa round ya pili, sasa ukitaka kujua kama umechaguliwa unafanyaje maana sielewi, alafu niko mkoa kijijini, hapa Leo nimekuja mjini internet cafe...
nimechaguliwa hapa nikagonge Bachelor of Arts in Mass Communication
aisee sjui hata jinsi ya kuanza anza. Aliye hapa au anayetambua mambo mengi yanayohusu mass com ulaini na ugumu wake naomba...
Wanabodi naombeni ushauri nifanyeje coz first round nilikosa na second vyuo vyote nilivyoomba nmekosa kmebak kimoja RUCO HV nisipochaguliwa kuna third round?au niende direct vyuon kuomba
Zipo sababu Nyingi unaweza kutumia kupima Ubora wa kitu Lakini kikubwa ni Kwamba Kifit Preferences Nyingi za kuweza kuitwa Bora and UDOM Fits most of those Preferences!!
1.MAHALI(LOCALITY)
Kipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.