Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wana JF kwa anaye kijua hiki chuo mazingira ya kusoma na hostel naomba anielezee
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Juzi nilitembelea ofisi ya afisa elimu wa mkoa na kuhuliza lini ajira uwalimu ztatoka,alinijibu kuwa tutegemee mwezi wa kumi na moja au wa kumi na mbili mwanzoni ili watu waripoti mwakani mwezi...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Jaman kwema Ningependa kujua kuhusu upatikanaji Wa kazi za radiographer na mshahala wake kiujumla kwa hapa tz Ahsanten naamin ntasaidiwa
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani kwa wanafunzi wale waliochaguliwa ktk vyuo ambavyo c chaguo lako unaweza kuhama cha kuzingatia ni kuwahi ktk chuo ukipendacho ili mradi tu iwe chuo cha private. Pia unaweza kubadilisha na kozi.
1 Reactions
27 Replies
14K Views
Walimu katili waibua mazito MUUNGWANA BLOG / 2 hours ago WANAFUNZI wanne wa ualimu waliomfanyia ukatili wa kumchapa fimbo na kumpiga makofi mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwanzoni nilipofeli kidato cha nne mwaka wa majanga 2012 nilihisi ndo mwisho wa kuiona degree kutokana na maneno ya kukatishana tamaa kutoka kwa baadhi ya ndugu na ukilinganisha wanafunzi wengi...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Tunaomba majina ya waliochaguliwa DEGREE kwenye vyuo hivi., nimegaragara vya kutosha sana sijaona majina kwenye vyuo hivi mwenye nayo atuangushie Link tafadhali. Matumbo karibu yanauma pembe zote.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama umechaguliwa nyerere tuma NAMBA yako kwenye 0765074371 niku add watsap group tupeane mawaidha
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu hivi tarehe ya kuripoti saut ni lini maana kwenye website yao Kuna joining instruction form ilitolewa mwezi wa 8 na inasema kuripot ni tarehe 3/10 sasa na majina yametoka trh 5 sasa...
0 Reactions
2 Replies
933 Views
Habari wanaJF. Nahisi kuchanganyikiwa kuanzia jana... Baada ya MUM kupeleka majina TCU, hata jina langu lipo kwenye list ya wanafunzi wapya. Lakini TCU wenyewe washanipangia chuo kingine, sasa...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
hv wanaofanya application kwa mara ya tatu majina yao yatatolewa lini?
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Mwalimu wangu ameniita leo, ameniambia anataka tuzungumze mawili matatu kuhusu mustakabali wa elimu yetu. Hivi najiuliza sijui niende ama nisiende manaake sijui huyu mzee na elimu yake ya UPE...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nyie madogo kuweni wastaarabu huko vyuoni mtaenda tuu. Mpunguze minyuzi yenu itajazia server zetu hapa. Hao marafiki mnaowataka mtakutana huko vyuoni tena mtakata tamaa ya kufahamiana. Huko...
16 Reactions
45 Replies
4K Views
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Bei rahisi , Ni imara na bora karibuni sanaaaaaaa
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau nisaidieni katika ili [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] Nakuchua Diploma ya C.O ktk private college , kutoka na gharama mi kubwa sana nahisi...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wanajukwaa mambo yamekuwa ovyo sielewi cha kufanya,nilipata ajira mpya hz za juzi za ualimu,nina shahada. Sasa juzi wakati wa kupokea hela ya kujikimu nikakuta jina langu halipo kwenye list ya...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Back
Top Bottom