Wadau, mimi nimemaliza form 6 mwaka huu nmesoma HGL na ndoto yangu ilikua ni kusoma LLB lakini kwa matokeo mabovu niliopata Div III.13 naona sitaweza kupata nafasi ya LLB, kuna mtu amenishauri...
Hawa nacte wanachowaza wao ni pesa 2............ Yaan pamoja na kutoa pesa zetu lkn bado wnafanya kazi kama hatutoi pesa
Ukiwa ni mtanzania wa hali duni huwezi soma kwa kwel maana sekta ya elimu...
THE UNIVERSITY OF DODOMA
ONLINE ADMISSION LETTERS FOR ALL FIRST YEAR STUDENTS ACADEMIC YEAR 2016/2017
This is to kindly inform all selected student into various degree programmes that admission...
Kwa maelezo zaidi fatiliani majina ya vyuo yanayo endelea kutoka sasahivi watu walioomba kupitia nacte majina yao yamejumuishwa humo
Mfano halisi angalieni majina ya udsm awamu ya pili wapo...
Kuna vijana niliwasaidia kuomba vyuo vya afya kupitia NACTE, mmoja aliomba nursing na alichaguliwa katika second selection na kuthibitishwa kuwa anaenda chuo fulani(sitaki nikitaje) lakini...
Jaman wadau nisaidieni kwa ushauri kuhusu sisi tulio apply direct chuoni (UDOM) kwa diploma, ni mwezi wa 3 sasa hawajatujibu mpaka leo je wametusahau au ndo habari yetu imeisha??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.