Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Imooooooooooooooo                                Sent from my TECNO F5 using JamiiForums mobile app
1 Reactions
0 Replies
515 Views
Selected Candidates for Bachelor Degree Programmes for 2016/2017 Academic Year The following applicants have been selected to join various Bachelor Degree programmes offered by the Tanzania...
2 Reactions
2 Replies
9K Views
http://www.hkmu.ac.tz/images/uploads/SELECTED_MD_STUDENTS_2016-2017__.pdf
0 Reactions
3 Replies
3K Views
HAYA HAPA MAJINA YA WALIOCHGULIWA KUJIUNGA TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY ( TIA ) CAMPUS ZOTE..BOFYA HAPA - Jessengoty.com ...
3 Reactions
0 Replies
924 Views
Naomben msaada kuhusu hiyo coz tajwa hapo juu inamwelekeo wowote kwenye ajira?????? plz ur help
0 Reactions
8 Replies
1K Views
nilikuwa naomba ufafanuzi kidogo wa majukumu ya awo watu tajwa hapo juu ukiachilia mbali tofauti yao kwa kiwango cha elimu itakuwa vyema nikipata maelezo ya tofauti yao hasa kwenye civil engineering
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa yeyote anayesomea hkmu md naomba anitumie namb ake.au kama una mfahamu mtu anaesomea pale HKMU naomb unipe no. Ake
0 Reactions
5 Replies
1K Views
["]MUHIMBILI UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES - Candidates Selected for Admission into Degree and Diploma Programme 2016/2017 is good,have a look at it!
0 Reactions
0 Replies
802 Views
iv wana jukwaaa naomba kuuliza mfano watakao kosa vyuo awamu ya pili je kutakua na awamu ya tutu
0 Reactions
2 Replies
732 Views
Ingia kwenye website yao wametoa majina ya first batch. First Batch of Students Selected to Join Various Undergraduate programmes at Main Campus and Mbeya Campus College for Academic Year 2016/2017
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa yeyote mwenye taarifa ya chuo cha kilimo na mifugo cha IGABIRO-MULEBA. Basi naomba anipe detail zake kwa wanafunzi wa Cheti(certificate) kwa mwaka huu wanahitajika kuwa na vitu gani? sare zao...
0 Reactions
0 Replies
794 Views
Tatizo la ajira kwa watumishi katika mwaka tajwa inaonekana ni mfupa ulioishinda serikali ya JPM.Hakuna kiongozi hata mmoja wa serikali iwe Mh.Rais mwenyewe au wasaidizi wake mwenye jibu la...
6 Reactions
40 Replies
11K Views
Tayari MUHAS washatoa majina jioni hii haya hapa au tembelea website yao kwa taarifa zaidi
0 Reactions
0 Replies
744 Views
Wana bodi, Kitendo cha wanafunzi kupigwa kinyama shule ya mbeya day pamoja na kuzua mijadara katika vyombo vya habari mimi nimekitazama kama aibu kubwa kwa kwa chuo kikuu cha dar es salaam...
3 Reactions
83 Replies
8K Views
Mimi napakumbuka pale ocol anapojilaumu anasema "my mother why was I born in Africa".pamoja na 'last safari to PAGAK"
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Ninahitaji kumhamisha dogo toka shule moja ambayo nilimpeleka pale A'level (HGL) lkn shule haina walimu wa Georg na Language. Sasa natafuta shule bweni lkn ada isizidi 3 milioni mkoa wowote.
0 Reactions
0 Replies
490 Views
Vyuo vingi wiki ijayo vinafunguliwa tayari kwa orientation program mpaka sasa majina ya watakaobahatika kupata bado inakuaje apo wakuu ????
0 Reactions
2 Replies
762 Views
Kama wote tujuavyo habari inayotikisa vichwa vya habari kwa sasa ni kuhusu ile video inayoonyesha walimu wa field wakimshambulia mwanafunzi wa kidato cha 3 katika sekondari ya kutwa ya Mbeya...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
ICT
msaada wakuu ninapenda kujua kuhusiana na mambo ya ICT nataka nikasomee, hi imeishia level gani na je ikoje kwenye soko la ajira.
0 Reactions
5 Replies
959 Views
Back
Top Bottom