Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
This is BULLSHIT. Nimeshangaa san kusikia kuna baadhi ya watu wanasimama na kuanza kuwatetea wale waalimu watatu waliomuadhibu yule mwanafunzi kule Mbeya. Hivi watu tunajua wajibu wa Mwalimu ni...
2 Reactions
1 Replies
926 Views
Natafakari sana jinsi Hmaster, Viongoz wa Shule, Walimu, Wanafunzi, wazaz, familia za Wahanga waliotumbuliwa kwa tukio la Kupigwa mwanafunzi lililorekodiwa na Mwanafunzi wa Iringa University...
7 Reactions
55 Replies
4K Views
Kwa watu wote mnaofuatilia selected names kwa undergraduate courses hapo muhimbili tupeane updates. Muda sio rafiki tena. Kwa ufupi, unafahamu nini kuhusu lini selected list from tcu ya watu wa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari zenu naombeni kama kunamtu ana namba ya simu ya chuo cha tumaini darsalaam TUDARCO hapo ofisini kwao anipatie tafadhali ya simu ya mkononi na si yamezani nitashukuru sana.
0 Reactions
2 Replies
637 Views
KAMA ULIOMBA CHUO KIKUU CHA RURU zamani RUCO , TAFADHALI ANGALIA JINA LAKO HAPA http://rucu.ac.tz/index.php/news/65-degree-candidates-2015-16.html
0 Reactions
6 Replies
20K Views
Kwani majina ya chuo cha Josiah kibira cha bukoba second round Vipi yametoka??
0 Reactions
2 Replies
621 Views
[28/09/2015 22:10] ‪+255 768 260 834‬: HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA CHUO CHA MAJI UBUNGO-DIGRII 2015/2016 | MASWAYETU BLOG - HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI...
0 Reactions
11 Replies
49K Views
ladies and gentlemen, habari... Ebana haka kapindi ni kagumu sana kwa mnaoripoti vyuoni. sababu: watu wengi hupoteza vyeti na nyaraka muhimu kisa tu yupo fasta na usajili. ushauri wangu, kuweni...
3 Reactions
2 Replies
670 Views
Unajua ugumu wa Chuo, unajua kuwa furaha yako usipokuwa makini itageuka kilio, unajua cku hiz chuon no bataz, unajua kuwa maisha ya Chuo ni full stress; usijar juhud, nidhamu ni silaha kwako ...
5 Reactions
24 Replies
5K Views
https://saut.ac.tz/downloads/TCU%20WEBSITE.pdf
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wakuu habari ya jioni mi naomba msaaada kuhusu kuhama chuo pamoja na kozi uliyopangiwa kutoka private kwenda private je inawezekana kwa bachelor degree ???na kama ndivyo taratibu gani naweza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Majina ya waliochaguliwa kwenda chuo 2016/2017 bado ayajatoka uko tcu?
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna tukio limetokea huko Mbeya, ni tukio la kusikitisha sana, yan mwanafunzi anachapwa viboko kama mwizi aisee ni hatariii sana, kama video ulikuwa hujaiona cheki kwenye link ifuatayo Twitter...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Naombeni kueleweshwa,NACTE kwenye profile yangu wameniambia nimechaguliwa arusha university kwa diploma,sasa naangalia majina ya waliochaguliwa pale sijioni mimi
0 Reactions
4 Replies
688 Views
waungwana naomba msaada kuhusu kufanya transfer kutoka chuo kimoja kwenda kingine je garama inagharimu kias gani? je inawezekana kubadili kozi uko unakokwenda? kuomba tranfer ufanyika online au...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
MATH -D COMMERCE- B B/KEEPING --D
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ningependa kujua ni lini Nacte uwa wanatoa majibu ya kujiunga na vyuo vya afya Mkuu soma taarifa hii hapa chini au tembelea wavuti wa NACTE TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUFUNGWA KWA MUDA WA KUPOKEA...
1 Reactions
406 Replies
70K Views
Habari Zenu wakuu.. Mimi nimechaguliwa Duce naomba kujuzwa changamoto za hiki chuo!! Pia kama kuna kubebana tukumbukane jamani
1 Reactions
195 Replies
18K Views
Wadau kama IFM wametoa majina ya second round, naomba mwenye link atupie hapa ase, maana nimeitafuta Bila mafanikio
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mtajwa halo juu naomba anitafute kupitia 0767874060
0 Reactions
3 Replies
682 Views
Back
Top Bottom