Jaman habarini za jioni samahani kama kuna yeyote aliyefanikiwa kuyadownload majina ya degree mwaka 2016/2017 aniPM Nimpe namba angu anitumie whatsup kozi asaiv kwenye simu yangu inandika not...
Habarini Wana Jamvi
Naomba ushauri/maono kuhusiana na suala lifuatalo; mimi nimechaguliwa chuo kimoja hapa Zanzibar lakini kwa sababu zangu zilizo nje ya uwezo wangu nataka nibadilishe. Natakiwa...
Kwa wale mnao subir second selection TCU jaribuni kufatilia majina yenu kwenye vyuo vinavyoendelea kutoa majina mfano chuo cha saut Tabora hakikua kimetoa first selection lakin kimetoa first batch...
Ndugu zangu naamini kunawatu bado hawamwogopi kabisaa Magufuri. Wakati nchi nzima wakilipwa hela ya likizo kwa walimu walioenda likizo mwezi Juni. Lkn mambo ni tofauti kwa walimu wa Ileje...
A: TECHNICIAN CERTIFICATE IN COMMUNITY DEVELOPMENT IN BUILDING AND CIVIL ENGINEERING CHUO CHA MABUGHAI COMMUNITY DEVELOPMENT TECHNICAL TANGA.
B: TECHNICIAN CERTIFICATE IN CIVIL ENGINEERING AND...
Habari
Mpaka sasa nacte kutokutoa selection wala kutokuwepo kwa taarifa yeyote elekezi ni kama kuonea wanafunzi kwa sababu kuna maandalizi yanayotakiwa yafanyike na wanaotarajia kujiunga na...
Mimi ni mwanafunzi niliyemaliza mwaka huu form six, nilichaguliwa first selection. Kwenye uchaguzi wa vyuo nilijaza vitatu hadi sasa viwili tayari na jina langu halipo, kimebakia NIT ndo chuo...
Habari njema kwa vijana wote wa diploma, ukiangalia profile yako utakuta ipo vile vile kama ulivyo maliza kuaapply lakini kama maombi yako tayari yameshafanyiwa kazi chuo kinakutumia email ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.