Salaam ndg zangu,
Jaman naomba kusaidiwa hivi ni course gani ya (Masters) iliyo marketable anayoweza soma MTU aliye na first degree ya Elim(BAED)
Note:ZILIZO NDANI YA FIELD YA EDUCATION AU HATA...
KUNA MDOGO WANGU AMECHAGULIWA KUSOMA BASIC TECHNICIAN CERTIFICATE IN INSURANCE AND RISK MANAGEMENT CHUO CHA IFM JE AKIMALIZA ANAWEZA FANYA KAZI KAMA NANI? HII KOZI INA MANUFAA? NA ANAWEZA SOMA...
Nina mdogo wangu alimaliza form mwaka juzi akawa amepata four. Nikampeleka chuo kusomea certificate bahati hakufanikiwa kumaliza sababu ya kuugua. Mwaka huu nataka nimrudishe chuo nimeangalia...
Ndugu wanajamii, nimefanya uchunguzi na kugundua kuwa wengi wa wanafunzi wa kidato cha 4 na 6. wanaofanya mtihani wa elimu ya dini ya kiislamu(EDK) final! wanafeli sana, ukilinganisha na wale...
Habari za saa hizi wandugu! Samahani, naomba mwenye uelewa kuhusu hiyo kozi tajwa hapo juu!
Kozi hii ni moja ya kozi ambayo hutolewa na Chuo cha Diplomasia Dar, es salaam kwa ngazi tofauti...
Wakuu a.aleykum
Selection za chuo zimetoka nimepata computer science ifm,kwangu naona sawa kwa sababu ya kukua kwa teknolojia hivyo demand ya wataalamu itaongezeka,tatizo napata upingamizi mkubwa...
First round watu wamekosa nafasi katika vyuo walivyoomba...
Hao waliokosa nafasi first round wakapewa nafasi ya kufanya tena application round ya pili...
Lakini leo hii vyuo vinatoa majina ya...
Habarini wanajamvi
Naomba msaada kujua mchakato mzima wa program hii. Kuanzia ugumu/urahisi wake na je ajira zake baada ya kumaliza masomo na upatikanaji wake. Natanguliza shukraan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.