HEBU TUANGALIE UPANDE WA MWANAFUNZI
Anaandika Tif wa kusini
Tukianzia na nyumbani kwake inasemekana mwanafunzi huyu anatabia sio nzuri hata kwa wazazi wake.Hii imempelekea hata wazazi wake...
Jamani wana JF naomba kuuliza,naona kuna watu wadiploma wamechaguliwa kujiunga degree kwa mfano chuo Kama UDSM NA IFM,na Yale majina yametolewa na tcu,na sisi wa diploma tuliomba kupitia...
Wakuu naomba kuuliza kama kuna anaye fahamu kama inawezekana kuhamisha admission kutoka chuo kimoja kwenda kingine. Na kama inawezekana process ni zipi... Mfano umechaguliwa mzumbe ila unataka...
Kwenye prospectus ya vyuo vingi vinasema ili ufanye UE unatakiwa uwe na course work ya 16/40 na ufaulu kwa ujumla ni 40/100. UE ili iwe 40%, unatakiwa upate 24/60. Ikiwa UE ipo chini ya 24 na...
Heshima wakuu, naomba msaada wenu wa joining Instructions za kahama school of nursing na mbulu school of nursing. Mwenye nayo anisaidie hapa. Masikojunior83@gmail.com
Shikamoo kwa wakubwa zangu na kwa wengine habari zenu jamani. Mimi ni kijana niliemaliza kidato cha sita mwaka huu mchepuo wa HGE na nikafanikiwa kupata division 1.8 (History B, Geography C and...
Ndugu zangu poleni na majumkumu, nipo namfanyia mdogo wangu application ya NACTE (certificate), nimezowea kupitia vyuo kadhaa kabla ya kusave CHOICE, naangalia slot na fee ya chuo nakuwa nanote...
Habari zenu wanabodi!!
Mimi ni mtumishi, nataka kujiendeleza kwa kusoma degree Open university mwaka huu, nimeenda kwenye branch la open university katika mkoa ninaoishi ili nichukue fomu, lakini...
habar wadau naomba tujuane kwa wale wanafunzi was saut first year pia hata kwa wazoef ili tupate taarifa zaidi ikiwezekana tutengeneze group LA whatsapp
Wakuu naombeni msaada hapa,ninataka kuomba uhamisho kutoka chuo cha private kwenda cha government, kwa diploma, inawezekana?? Na pia nikishaomba uhamisho nitakwenda kuripoti chuo nilichopangiwa au...
Wadau
Naomba majina ya course ya Mass Communication chuo cha TUMAINI kwa Degree., sijaona hii course kwenye majina ya awali ambayo wametoa, lakini TCU waliweka hii course kwamba inapatikana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.