Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Hivi doctor of dental surgery iko jee pale muhas,,iko poa au ni miyeyusho?,,nina mdogo wangu amepangiwa pale hii coz ,,,,naombeni ushauri juu ya hii coz jaman
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu nahitaji kujua environmental engineering ina deel na nini, pia nataka kujua ajira zake zipo vipi na mshahara wake kwa ujumla
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Walitukubalia tuapply kwenye centers zao na kutushauri tutachaguliwa tuliwauliza mara mbili mbili wakajibu hakuna haja ya kuapply through TCU. Kwamba kuapply direct chuoni inatosha, kumbe waongo...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakubwa heshima kwenu, naomba mwenye uelewa wa course ya Urban Development and environmental management, yaan mtu akisoma anabobea katika nini na kazi zake zipoje/ajira anaajiliwa wapi? mdogo...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Hello guys, nimechaguliwa saut main campus mwanza but ningekupenda anayoielewa anisaidie kunielezea mazingira yake yalivyo
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nimeumia baada ya kuona video inayosambaa mitandaoni,waalimu wanne wakimuadhibu mwanafunzi yule wa secondary. Waalimu timizeni majukumu yenu shule sio kambi ya jeshi.kutokana na kusambaa kwa...
7 Reactions
74 Replies
6K Views
Jamni hii ishu ya mikopo kabla ya kuripoti inakuaje?
1 Reactions
42 Replies
4K Views
Guys nilikua napenda kufahu utaratibu was kureset advance. Ni kwa mchepuo was sanaa. Naweza nikafanya masomo mangapi (yaani kiwango cha chini).
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Yeyote alichaguliwa hapo tukutane hapa kwa course za afya.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wapendwa jambo amani kwenu wote! Kuna mdogo wangu kachaguliwa hii kozi katika chuo tajwa hapo juu. Hii kozi ni kama mpya hivi! Vipi wapendwa mliokwishaisoma solo lake likoje? Imesimamia upande...
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Wadau nina swali hapa. Mimi nimepangiwa chuo cha SAUT bachelor of art in Public relation and marketing!!. je naweza kuwaomba TCU kunipeleka UDOM
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakubwa heshima kwenu, naomba mwenye uelewa wa course ya Urban Development and environmental management, in terms mdogo wangu kachaguliwa course hiyo ila
0 Reactions
0 Replies
621 Views
dar au mwanza nicheki kwa namba hii apa 0656244694 ,nahitaji Chandler ya chemistry na Bs kwa alyepo Mwanza au Dar ,kwa bei ya kindugu sio kukomoana ndugu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
COMMONWEALTH SCHOLARSHIPS TENABLE IN THE UNITED KINGDOM FOR THE YEAR 2017 The Ministry of Education, Science and Technology as a nominating agent in the country for the Commonwealth scholarships...
0 Reactions
0 Replies
864 Views
E-learning AuthorAID offers free online courses in research writing and proposal writing for researchers in developing countries. Our courses are hosted on INASP Moodle. Enrollment Open...
0 Reactions
0 Replies
772 Views
KDI SCHOOL SCHOLARSHIPS 2016/2017 Applications are invited from qualified Tanzanians for Masters and Doctorate programmes tenable in the Republic of Korea at the Korea Development Institute...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Baadhi ya Vigezo muhimu: - Uwe Mtanzania - Uwe na umri usiozidi miaka 25 (Ifikapo mwezi Machi 2017) - Uwe katika hali thabiti ya afya - Uwe umefanya vema kwenye mtihani wako wa kidato cha sita...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
["]MUHIMBILI UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES - Candidates Selected for Admission into Degree and Diploma Programme 2016/2017 is good,have a look at it!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
naomva kuuliza wadau kcmc wanatoa lini majina wanafunzi wa degree?
0 Reactions
4 Replies
879 Views
Back
Top Bottom