Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Nimechaguliwa kujiunga na kozi ya clinical officer Lindi lakini sijapewa tarehe ya kuripoti kwa anayejua tafadhali naomba msaada
0 Reactions
19 Replies
6K Views
TCU wametangaza kufungua awamu ya tatu ya udahili. Nawafahamu diploma wengi wenye gpa 3.5 ambao hawajachaguliwa na wala hawakupata nafasi ya kufanya chaguzi mpya kwa round ya pili na sasa ya tatu...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Names kcmc 2016/2017
0 Reactions
0 Replies
653 Views
Tumeomba hichi cha Kilimanjaro Christian Medical University College kwa degree za Afya kwanini hadi leo vyuo vyote tayari majina isipokuwakuwa chuo hichi au ndio wamegairi kutoa mafunzo ya...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wadogo zetu tokea tumewafanyia application za diploma tena kwa gharama kubwa ya 50000, tokea mwezi wa nane hadi sasa hawatoi majibu, huo ni uzembe mkubwa sana maana wanapaswa kutoa majibu mapema...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Kuna baadhi ya vyuo vilichelewesha majibu kwa wanafunzi wa Diploma hasa waliofanya supplimentary hivyo awamu ya kwanza na ya pili hawakupata je hawa hayima yao vipi?
0 Reactions
3 Replies
843 Views
wadau amani iwe kwenu. Leo kuna mtu kanipa namba kwa maelezo yake anahusika maswala uhamisho na yuko tamisemi kwa kuwa na mimi mojawapo wa wale wanasubiri kuahama maana taratibu zote...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wanajamvi salaam! Tokea mwaka jana kumekuwapo na pesa kiasi cha shilingi 20000 huwa tunalipishwa kwa kila mwanafunzi inaitwa quality assuarance. Mwaka jana baada ya serikali ya wanafunzi...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu...salamu kwenu nyote Kuna mdogo wangu kamaliza form six mwaka huu...alikuwa anasoma PCB na alipata divison TWO points 10 lakini mpaka naandika haya hajafanikiwa kupata chuo...si round ya...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Hivi wadau hii kozi kuna uwezekano wa kupata mkopo Bachelor of arts in theater arts (udsm)
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwaka huu TCU wameshafungua maombi mara mbili ila deadline ya mara ya pili imefungwa kipindi baadhi ya vyuo vilikua bado havijatoa matokeo ya diploma especially wale waliokua na supplimentary...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nliomba kujiunga na chuo round ya pili,sasa had Leo sielew nimechaguliwa wap,je naangaliaje,maana nmeingia kweny profile wamefunga,na vyuo nivyochagua pia sion majina,au bado hawajatoa
0 Reactions
3 Replies
767 Views
Daaaah wadau imekaaje hii naona bodi ya mikopo ipo kimya wakati UDSM (Home of Vipanga) na SUA wazee wa Screen test (Hard science) wanafungua wiki hii na wiki ijayo respectively. Au gvt bado...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Tafadhal mwenye joining instruction ya MMU kozi ya ordinary diploma in primary education anipe link au mawasiliano yao
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari jaman walioomba nacte wakitokea diploma kuna yeyote ameshapata chuo lakni mwanzo hakuwa na GPA YA 3.5? Tujuzane jaman maana mm nlkuwa na 3.4 walposhusha nkawa na uhakika wa kupata chuo ila...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu...mbona diploma tcu/nacte awatupi maelezo yoyote kuhus matokeo yanatoka Lin..watu wanabun tu Mara tarehe 5 wengne kum adi wengne 15 kwanin wasiwe wawazi maana take kun Baadh vyuo...
2 Reactions
39 Replies
5K Views
Jamani habari ya muda huu! kwa yeyote mwenye updates kuhusu post za second round zilizo toka za vyuo hivi atujuze maana presha muda unazidi kwenda alafu kimya tu. Nawasilisha.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nataka Kubadili Degree Programme, Pindi Nitakapo Kwenda Kufanya Usajili, Nimechaguliwa Bachelor Of Philosophy With Education. Nataka Nika Chukue BAED ,Je inawezekana? au kuna athari zozote...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari ndg watz wenzangu. Wiki jana tuliona taarifa ya mwanafunzi Sebastian Chingulu kuadhibiwa na walimu-wanafunzi kinyume na utaratibu. Mwanafunzi huyu alitenda kosa la utovu wa nidhamu kwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom