Watalaam
Naomba ushauri wenu hapo.
NACTE selection nilipangwa Ordinary Diploma in Medical Laboratory, TCU selection Bachelor of Science Environmental Science and Management. Niko njia panda...
Zikiwa zimebaki siku kama 10 kwa CAS kuacha kukubali maombi mapya kuna kitu kinanitatiza. Unapochagua program CAS inaonyesha idadi ya waombaji wengine waliokwisha ichagua program husika (nafasi...
Chuo kikuu MUM kimetangaza nafasi kwa wanafunzi wanaotaka kuhamia chuoni hapo,hii inawahusu wanafunzi wote waliochaguliwa kozi mbalimbali za undergraduate vyuo vyote Tanzania 2016/2017.
MTU anapokuambia anasomea Logistics anakuwa ana manisha nn,na ni masomo yapi anakuwa amechukua tangu akiwa A-Level.mana mwenye ujuz na utash juu ya hili anisaidie kudadavua
Habari wakuu!
Ninamdogo wangu anasoma A-level katika shule (flani) ya serikali mkoani Mtwara anataka kuihama shule hiyo. Hii ni kwasababu anadai kuwa kuna uhaba wa walimu wa sayansi katika shule...
Habari wakuu.
Aise nimechukizwa sana na tabia ya admission officer wa chuo cha tumaini mbeya. Juzi nimempigia simu kumuuliza .maswala ya usajili wanasitisha lini, alichokua anaongea sikielewi...
Hawa wana mpango gan na sisi maaana hata first round hawajotoa ...naakati tayar vyuo vngine vshatoa first na second round.....sa cjui watatoa lini ......?? Na mda hautaki kuelewa kabisa...
Kwako Waziri wa Elimu!
Chuo Kikuu hiki ni jipu lililoiva sana na sasa linaelekea kuoza. Naomba please ukitembelee chuo hiki maana kina madudu kibao. Uongozi ni tatizo kubwa sana hapa.
Habari zenu wana jf,mm ni kijana na nimesomea cert ya procurement&supply na nina kipaji cha utangazaji ila bado naendelea na diploma ya procuremnt,ila nimepata nafasi yakusoma course fupi ya...
Habari zenu,
Naombeni msaada wa mawazo mdogo wangu kafaulu na alipata division 1. kajaza vyuo na majibu yalipo toka ilionesha amechaguliwa KUJIUNGA NA CHUO CHA MUST . Ambacho alijaza architecture...
Wapendwa naomba namba za simu za TCU zinazopolewa, zile za kwenye website yao hazipokelewi. Profile yangu imefungwa chuo nimekosa napiga simu hawapokei.
Nimehitimu chuo cha Ushirika ( MUCCoBS) mwaka 2012 BAF na sasa ni mwajiriwa wa Serikali.
Niulize swali lolote nitakujibu na kama kuna waliosoma MUCCoBS tutasaidiana kujibu maswali yenu.
Karibuni
Wakubwa habari zenu, naomba kuuliza kama chuo cha IFM wametoa majina ya walioomba mara ya pili maana kila nikicheki nakuta wameandika 1st batch ila kila nikiuliza naambiwa tayari
Niliapply diploma second round kupitia nacte, baada ya muda nikaambiwa nimechaguliwa SUA.
Jana SUA imetoa majina ya waliochaguliwa second round huku jina langu likiwa halipo.
Je nitakuwa nimekosa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.