Maisha yatakuaje vyuoni hasa mwaka wa Kwanzaa MAANA wanafunzi wengi tunatoka familia za wenye uwezo wa chini
Wazazi wetu walitegemea tumefaulu vizuri na lazima tupate MKOPO kumbe mh daaaaa
Wengi...
Wanafunzi wa chuo kikuu cha Sydney, Australia
Katika kutathmini viwango vya elimu duniani, wengi wamekuwa wakiangazia sana ubora wa vyuo. Lakini kwa jumla, ni mataifa gani yenye wanafunzi walio...
Usiambiwe tu ukapenda nakuitikia ndio hapohapo. Fikili kwanza kwanini umeambiwa na ndipo utoe jibu la kukubali au kutolidhiana na jambo hilo. Rais wangu wewe ni mchapakazi sana na huruka hii ya...
Tovuti ya chuo cha Usimamizi wa Fedha imekuwa hacked na Anon plus.
Wanafunzi hawawezi kuona chochote wala kufanya chochote sio matokeo wala kufanya registration.
Kwanza natanguliza pole kwa vijana wa Kitanzania ambao mmekosa mkopo. Mtu akijivika nafsi zenu atagundua ni namna gani mmeumizwa na ukosefu wa mkopo kwa ajili ya elimu ya Chuo kikuu.
Moja ya...
TAARIFA KWA UMMA
Wizara ya Mikopo chuo kikuu Dar es salaam inapenda kutoa mrejesho kama tulivyoahidi kurudisha mrejesho kwenu baada ya kuwafikia ama kuwasiliana na mamlaka za juu zaidi yaani...
Gharama za kuomba Mkopo;
Application 30,000
Internet 2000
Passport 5000
Mahakamani 20,000
Ofisi ya Kijiji 10,000
Printing 5000
Bodaboda 2000
Ems 13100
Jumla 87,100
Mkopo 77,100
Apo ndipo...
MAAJABU KUHUSU MIKOPO YA WANAFUNZI VYUO VIKUU MWAKA2016 .(CONFUSION ABOUT LOAN ALLOCATION TO HIGHER EDUCATION STUDENTS)
1. Wanafunzi wa mchepuo mmoja, wanaosoma masomo sawa, assignment zao zote ni...
Ni mpaka pale Bodi ya mikopo ya elimu ya juu itakapothibitisha kama itaendelea kuwalipia ada wadahiliwa , Hii ni kwa wale wa mwaka wa pili na kuendelea .
Mkurugenzi Mtendaji wa bodi hiyo Abdul -...
The OECD's top 10 highest performing graduates
Japan
Finland
Netherlands
Australia
Norway
Belgium
New Zealand
England
United States
Czech Republic
Higher education has a strong sense of...
Ndugu, nmewahi kupita hapo mwaka mmoja uliopita, nina shida na jambo fulani hivi, naomba kama kuna wanachuo wa mwaka wa kwanza walioanza masomo ama wa mwaka wa pili wanaoendelea tuwasiliane nao...
kuna yeyote alieomba chuo kikuu akiwa na cut off ya point 3 kwa masomo mawili kushuka chini nikimaanisha yani kapata may be DEE au chini ya hapo tcu ikampangia?
habari za mda huu wadau nataka kufanya mitihani ya Chartered Institute Procurement and supply UK level 3 (diploma) ningependa kujua upatikanaji wa materials na ghalama anayejua please....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.