Mtu Huyu alitutia Adabu sana, kama sijakosea Alihama lyamungo 2004, na kwa miaka hiyo aliendesha shule kwa mafanikio makubwa sana, any way, mwenye Kujua Alipo tafadhali anipatie taarifa
Jamani tunavotoa baadhi ya taarifa humu JF ziwe taarifa zenye uhakika na uthibitisho kama unatoa thread yako inayohusu Habari nyeti zaidi toa na evidence ili mtu awe na uhakika wa Habari husika...
jamani hii serikali inatutafuta charohoni yaani kelele zote zile bado hawajasikia wametoa 2nd bach ya boom kwa asilimia wamebandka hii leo udsm mmmmm sasa tumechoka
Ndalichako anasema watu wanapotosha wanafunzi waliokosa mikopo siyo 66000 Bali ni 33000 tu. Naona kama watu wanacelebrate hii inashangaza ina maana wanafunzi 33000 kukosa mkopo kati ya wanafunzi...
Habari wana jf, natafuta shule nzuri ya mtoto (baby class) ya boarding kwa maeneo ya mkoa wa Kilimanjaro au arusha ambayo wanacare vizuri watoto hasa katika chakula na usafi pamoja na elimu...
My Argument Is Based On the fact that most of lecturers are very poor in imparting knowledge thereby making our graduates both incompetent and also unmarketable given current stiff competition in...
Anaejua kvigezo vilivyotumiwa kutoa mikopo kwa wanafunz wa masomo kwa mwaka 2016/17 katika form ya mkopo naomba msaada hasa waliojaza form za mkopo maana kuna mzee ananibishia sana mwanae kukuosa...
Habari wakuu,
Mimi nimeripoti chuo jamani hali sio poa wajameni watu wanazinguliwa kufanya registration NO TUITION FEE NO REGISTRATION OTHERWISE GO BACK .
Uzuri wa huku mbeya life is cheap...
LEO NIMEAMUA KUTOA YA MOYONI KWA NITAKAOWAUDHI NA KUWAKERA TUSAMEHEANE SABABU HAKUNA ALIEMKAMIRIFU
kumekua na swala linalozungumzwa sana na watu walio wasomi na wasio wasomi kuhusu masomo ya...
nimechaguliwa certificate of clinical oficer chuo cha musoma nimeajiriwa na serikalini kwenye toanroad mara naingia shift ya usiku je ?naweza soma huku nafanya kazi maana najisomesha na sijapata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.