Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
ni vigezo gani vya kutambua jambo flani ni zuri au baya?? kwa kutumia vifungu vya misahafu ya dini naomba tusaidiane. " what is good??"
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kama ni watu wenye utash ni walimu. Hawa ni wanataaluma makini na muhimu. Walimu wana kila haki na umuhim katika jamii. Huu Uzi iwe kwa ajili ya wao kupeana updates. Ninaamini walimu wanasoma...
0 Reactions
2 Replies
739 Views
dah aseee ...ila mm cna maneno meng...zaidi ya kusema "HUKU NDO TUNAKO ELEKEA"
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Napata wakati mgumu kujua wapi nikasome course ya biashara na kupata elimu bora na sio bora elimu
0 Reactions
93 Replies
48K Views
Nimejaribu kufuatilia selection za mwaka huu nimeshindwa kuelewa kabisa, kwanza navyofahamu TCU yaani tume ya vyuo vikuu Tanzania ndiye mwenye dhamana na elimu yote ya juu ikiwa ndsie kinara wa...
2 Reactions
28 Replies
5K Views
Hivi serikali inafikiria nini kuhusu wanafunzi waliochaguliwa kusomea ualimu masomo ya Sanaa au wataendelea kutoa majina
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wana JF, Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu,siku moja katika pita pita zangu kwenye mtandao nilikutana na tangazo katika tovuti ya wizara ya elimu kuhusu nafasi za kwenda kusoma...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Kama wanafunzi wanao somea masomo ya arts asilimia kubwa awapati mikopo basi serikali ifute masomo yafuatayo 1:KISWAHILI 2:HISTORY 3:CIVICS 4:ENGLISH
9 Reactions
26 Replies
4K Views
Chama cha waalimu tanzania(CWT) ni chama cha waalimu cha muda mrefu sana sasa kwa tanzania......Chaajabu chama hiki kimekuwa chungu na mwiba mkubwa kwa waalimu wake kwa muda sasa..... Maranyingi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Busara ni kitu kidogo sana ndugu zetu ila kina maana kubwa mno. Nawahakikishieni msipokua na hekima basi hamtafanikiwa maishani mwenu. Najua mnajielewa kuwa wanafunzi wa masomo ya sanaa/art mpo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani Mimi kitu sijaelewa katika vile vigezo vya utoaji wa mkopo yaani uhandisi viwanda(industrial engineering) peke yao ndio wanapewa mkopo?
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna kijana aliomba mara ya kwanza kwenda kusomea certificate ya mambo ya afya na yalipotoka majina hakuchaguliwa sasa tukaamua kumuombea tena kwa awamu ya pili lakini safari hii akiwa...
0 Reactions
4 Replies
839 Views
Kusema kweli mimi ni mfuasi wa Magufuli wakati anaingia madarakani nilifurahi sana na kweli kwa asilimia 100% alitimiza niliyokuwa ninawazia moyoni mwako ila kitu kimoja kikubwa ambacho kanikera...
0 Reactions
3 Replies
989 Views
Wakuu aliyeripoti CBE campus ya dodoma tuwasiliane kuna vitu naomba anijuze...
2 Reactions
12 Replies
5K Views
lTAZAMA HAPA MATOKEO YA DARASA LA SABA 2016 | Pm Zones
0 Reactions
0 Replies
1K Views
SERIKALI YAKANUSHA KUHUSU KUANZA KUTOA AJIRA NA KUPANDISHA MSHAHARA SERIKALI YAKANUSHA KUHUSU KUANZA KUTOA AJIRA NA KUPANDISHA MSHAHARA | Tanzania Sec School
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Mi naona watoto wa masikini wengi ni artist [emoji439] kwa sababu wanasoma SHULE za kata ambazo hata miundo mbinu mfano maabala ni mibovu hivo wakitoa priority kwa science badoo watoto wa masikini...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Habarini wakuu Katika maisha ya waafrica tunakumbwa na magonjwa, umasikini n.k mambo ambayo yanatufanya tuwe nyuma kimaendeleo ukilinganisha na mataifa nje ya Africa, kuna misemo mtaani kwamba...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
If my Mother is a Chemist, and my Father is a Mathematician. And they gave a Code to my name "Iron59" Question: What is my Real Name?
0 Reactions
1 Replies
947 Views
Back
Top Bottom