Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari njema kwa wote tulioandikiwa Hiyo [emoji115] [emoji115] [emoji115] ile link kwanza ime expire ni ya kitambo since October 16 ..kwahyo habari njema ni kwamba link mpya ipo njianii inakuja...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Naombeni kufahamishwa Account yangu inaniandikia YOU ARE NOT ALLOCATED LOAN IN A YEAR OF 2016/2017 AT FIRST BANCH Je hii ni kwamba nimekosa kabisa au kuna matumaini ya kupata mkopo hapa???je...
1 Reactions
28 Replies
5K Views
Ndugu zangu kwanza nianze kwa kumshukuru mungu kwa kunipa afya. Lakini hasa kwa kunipa uwezo wa kufikiri juu ya Taifa langu.naleta hoja yangu kwenye jukwaa hili ili tuweze kufikiri pamoja...
0 Reactions
0 Replies
588 Views
*TANGAZO* umoja wa vijana wa Chama cha mapinduzi(UVCCM)unawatangazia wanafunzi wote waliokosa mikopo ya Elimu ya juu lakini wana sifa zifuatazo: 1. Wamekidhi kigezo cha ufaulu 2.Yatima 3...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuna tofaut gan kati ya masters ya public health MUHAS na ile ya UDSM
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Kuna dogo mmoja namfaham brother yake ni rafiki yangu sana,kuna kipindi huyu rafiki yangu akiwa porini kufanyakaz kama hotelia huyu dogo nilibaki nae ghetto,dogo alikua anasoma kwa shida sana,ila...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Majina ya wanachuo waliopata mkopo yameshatoka?
0 Reactions
1 Replies
753 Views
Malalamiko kila kona, Pesa yenyewe ni ya mkopo si ya bure lakini bado wanapa wachache wengi wananyimwa.Hivi ni kweli Serikali haiwezi kumsaidia kila mwanafunzi aliyechaguliwa kujiunga na chuo...
0 Reactions
3 Replies
860 Views
Wadau kama mnavyojua prof ashasema kila continuous student mnufaikaj wa mkopo anatakiwa kuingia kwenye account yake j3 hii ili ajaze taarifa maalumu,, tatizo linakuja kila nikijalibu ku create au...
3 Reactions
1 Replies
2K Views
The student with Index number 'S1359.0057.2009' was not allocated a higher education loan for AY 2016/17 in the first Batch FINAL LIST IMESHATOLEWA MAJINA 600 TU KWA SAUT. RAIS JOHN POMBE...
1 Reactions
37 Replies
3K Views
Leo almost week na kitu imeisha ukilogin unakuta loan breakdown tu kila siku majina hayaji vyuoni mpaka lini sasa maaanake tunasubil kila siku hakuna asee
1 Reactions
4 Replies
944 Views
Jana kwenye kipindi cha kipima joto ITV kulikua na wadau kadhaa wa elimu walioalikwa kwa ajili ya kujadili upandishaji wa madaraja kwa wanaotarajiwa kujiunga na vyuo vikuu nchini. Kulikua na...
3 Reactions
39 Replies
4K Views
Miaka ile ya 1960's na 70's pale chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kulikuwa na Jarida maarufu lililoitwa CHECHE. Jarida hili lilikuwa na slogan yake ya "JIFUNZE KUPAMBANA,PAMBANA KUJIFUNZA"...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Baada ya wakuu wa shule za kiislamu kumuandikia katibu mkuu-Elimu wakilalamika kwa wanafunzi wao kudhulumiwa somo la Islamic knowledge, NECTA wametoa matokeo mapya wakiwapa haki zao watoto hawa wa...
1 Reactions
71 Replies
8K Views
Daah tunashindia maji vyuoni mkopo vip
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habar zenu wataalam wa manunuzii, naomba mnisaidieleo nahitaji maono yenu juu ya kesi hii iliopo hapa mezani kwangu Ninafanya evaluation ya construction, jumla ya wazabuni 11 wameomba hii kazi na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari gani wana forum,samahani natafta mawasiliano kwa mtu yeyote anaesoma St Augustine kwa ajili ya kupata moja mbili za pale chuo..
0 Reactions
1 Replies
785 Views
wana JF .. kuna hii clip inasambaa sana mitandaoni kuhusu kauli ya rais wetu kuhusu kuwepo kwa vyuo vikuu ndani ya nchi yetu,,,,ametaja baadhi ya vyuo ambayo hapo awali vilikuwa vinatoa elimu ya...
0 Reactions
44 Replies
11K Views
waziri kasema walimu wanapangiwa direct mashuleni kulingana na uhaba .....kwaio ukifanya integration kisha ukamalizia na differentiation uhalisia ni kuwa mashule mengi yamejaa walimu wa arts yaan...
1 Reactions
108 Replies
10K Views
Back
Top Bottom