Zaidi ya nusu ya vijana hawana mikopo, wamalizao Diploma pia wametoswa, wenye miaka 30 wanatoswa! Waliopata mikopo wamejikunyata kimyaaa, madhila ya waliokosa hayawahusu! Waathirika na wahusika...
Make no mistake, anyone can change your OLAMS password and access your private data provided one has your phone number + form 4 index number.
HESLB should do something about this ASAP
Kuna jambo najiuliza tu hivi bodi ya mikopo iko sahihi inapotangaza siku 90 za kukata rufaa kwa wanafunzi wote waliokosa mikopo, hivi kwa hali ya kawaida tu hizo siku 90 mwanafunz ataishije...
Kwako mkuu wa chuo, kwanza salaam
Ningeomba niwakilishe hili wazo langu ambalo nafikiri litasaidia pia katika mpango mzima wa Mh Rais wa kufikia hii nchi kua ya viwanda na pia kufikia uchumi wa...
Hivi hii branch inawatu wanaojielewa kweli, unapiga simu weeeeee mpaka chaji inaisha, simu inaita siku nzima wao hawapokei…. Sijui walioajiliwa Reception wanafanya kazi gani?!
Badilikeni...
Kama mtakuwa mnakumbuka vizuri ilikuwa ni takriban majuma mawili yamepita tangu rais wa CWT atamke kuwa anaipa serikali muda mpk Oct 31, 2016 maden yote iwe imelipa kwa kada hii iliyosahaulika ktk...
Hatimaye bodi ya mikopo yawapa mikopo wanafunzi wote wenye uhiitaji na majina yataaanza kutolewa jioni hayo yamesemwa na mkurugenzi mtendaji wa bodi ya mikopo alipokuwa akihojiwa na clouds radio...
Naomba mnisaidie kujibu swali husika;
(a) Mvua za masika, mvua za vuli, mvua za upepo.
(b) Mvua za myuko, mvua za milimani, mvua za mseto.
(c) Mvua za hapa na pale, mvua za mjini, mvua za mawe.
Wanafunzi wenye diploma hawatopata mikopo, wenye umri zaidi ya miaka 30 hawatapata, waliosoma shule binafsi hawatapata mikopo, watahiniwa binafsi hawatapata mikopo na mbaya zaidi hata wale...
Dogo kachuguliwa Chuo cha Uhandisi cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam lakini amekosa mkopo. Hivi ada ya UDSM kwa upande wa Engineering ni kiasi gani kwa sasa?
Wana wa JF habari,
Kama kuna mtu anayemfahamu Ndg. EDSON MWAKYOMBE mwanafunzi wa chuo ambaye alitoka kwenye gazeti la Mwananchi akilia baada ya kukosa mkopo naomba anitumie mawasiliano yake kuna...
Sera ya elimu bure kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha nne imechangia kwa kiasi kikubwa kwa wanavyuo kukosa mkopo
Pesa ambazo zingetumika kugawa mikopo ndo hizo hizo zimegharamia elimu bure...
Mh.Waziri wa Elimu kwa heshima na taadhima mpangie kazi nyingine mkuu huyo wa chuo, ana wanyanyasa watoto wetu.Wanafunzi wameripoti mwanzo wa muhula, hawajapewa magodoro na huduma ya chakula...
Bodi ya mokopo ya elimu ya juu imeanza kutoa mikopo kwa waombaji wenye uhiitaji maalum. Hii itajumuisha mayatima wenye kutoka familia duni ppamoja na wenye ulemavu. Kama haupo kwenye category...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.