Ndugu zangu naombeni ushauri wenu mm nimesoma sheria katika chuo cha utumishi (Tpsc) wa umma Mtwara , na nataka kuendelea na elimu ya juu lkn cha ajabu nataka kuendelea na bachelor , nimefika...
Eti
Huduma ya kwanza kwa MTU aliyepandisha mapepo ni ipi
: Swali la pili
Education diploma assignment
Changamoto 6 zilizopo katika utoaji Huduma ya kwanza
Ukosefu wa sanduku/vifaa na elimu...
Jamani nmewapigia simu loan board wameniambia hakuna tena majina
Ila 5000 yaliobaki ni kwa wale watakao appeals.
Sasa jamani ntafanyaje??
Sina uwezo wa kujisomesha.
Au walitaka nidanganye mimi...
Jamani hizi nyuzi za mikopo tuachieni first year na wenye mapenzi ya Dhati kutupigania juu ya haya ila kuna baadhi ya watu badala ya kutoa solution mnaanza mambo ya vyama na siasa Tatizo ni...
Sikali za wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu Tanzania (TAHLISO) limetoa muda wa wiki moja kwa wanafunzi waliokosa mikopo licha ya kuwa na vigezo vyote ikiwemo uhitaji kusikilizwa na serikali kabla...
Hatimaye uvumilivu umewashinda vijana wa udsm na kuamua kugoma.
source.Mabibo hostel.
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wamekesha usiku wa kuamkia leo Novemba 4, 2016 ikiwa ni...
Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji na Vipindi, Ruge Mutahaba akizungumza leo na Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - TAMISEMI, George Simbachawene mara baada ya...
Wana JF naomba msaada kwa waliosoma na wanaosoma Tanga tech a-level kuhusu kitaaluma, mazngira, wanafunzi, walimu na shule kiujumla maana nimechaguliwa kujiunga kidato cha tano mwaka huu...
Nilikuwa ofisi za TCU leo zilizopo maeneo ya Mikocheni. Kilichonipeleka ni shida waliopata watoto fulani ambao wapo mkoani wakati wakifanya application kwa ajili ya admission ya vyuo vikuu...
Jaman Wana Jamii forum, naomba mnisaidie kwa hili, nime sikia tete si kwamba serikali eti kwenye mpango wa kuajiri walimu mwaka huu 2016, itaajiri hata wale walio maliza masomo mwaka huu 2016 yaan...
Soma hapa kujua mkakati wa kusaini pesa za kujikimu hata kabla hujamaliza kulipa ada
Serikali ya wanafunzi chuo kikuu cha Dodom (UDOSO) imewasilisha mkakati mpya kwenye suala la kusaini pesa za...
Nasikia sikia tu Mabilioni 483 kwa ajili ya wanafunzi vyuo vikuu elfu ishirini na nano na 717 waliopangiwa mkopo cha kushangaza umati wetu sisi wanavyuo hewa Hizo hela zi wapi ili hali...
HESLB imesema kwa mwaka 2016/2017 haitatoa mikopo ya elimu ya juu kwa Diploma Holders wote walioaply kujiunga na vyuo vikuu, hii ni taarifa mpya kutolewa na bodi ya mikopo ya elimu ya juu [HESLB]...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.