Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kwa anayeifahamu vizuri St Clara. naomba tujuzane Ada sh ngapi kwa mwaka .
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa wale wa kozi ya afya Angalia hapa http://moh.go.tz/images/newsroom/TANGAZO.pdf
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Naomba munisaidie wadae mm nmechaguliw na company fulan inaitwa relen consultant kwenda kufanya interview tareh 19 mwezi huu ila tatizo mmeambiw kweny SMS kuwa nitum sh, 20000 kupitia aetel money...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Jaman wanaJF habari za wakati huu, Naomba mwenye uzoefu au anayeijua kambi ya JKT Mlale anipe details
0 Reactions
18 Replies
9K Views
Rejea title hapo mwalimu wa Biology form 3 na Physics tupia namba nikucheki hewani
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Naitwa Shafir Zubail, mhitimu wa kidato cha nne 2010. Shule nimesoma ya serikali ya Kaigara Shule ya Sekondari, ila kulingana na hali ngumu ya kimaisha ya hapa nyumbani sikuweza kufaulu kuwndelea...
9 Reactions
47 Replies
5K Views
Explain the strengths and weakness of archaeology in Africa
0 Reactions
1 Replies
678 Views
Mimi niliomba chuo kwenda kusoma degree kwa sifa za equivalent na nikachaguliwa chuo kimojawapo hapa nchini nilijulishwa kupitia profile account yangu .Baadae nikafutwa na kufungiwa account yangu...
0 Reactions
2 Replies
594 Views
Habari, niko mwaka wa 3 jina langu la kupata fedha kwa ajili ya chakula na malazi halijakuja chuoni. Sio peke yngu wako wengine baadhi lakini tatizo ni supplementary nilokuwa nayo lakini nimesha...
0 Reactions
2 Replies
883 Views
Inasemwa kua Hesabu ni Sayansi inayomulika kwenye namba, Je ni yepi maarifa ya awali anayopata mwanafunzi kwa kujifunza namba sifuri(0)?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ni mwalimu wa Hisabati Shule ya Msingi Kimara B wilayani Kinondoni. Mwanafunzi aliyepata alama 50 juu ya 50 katika somo la Hisabati alifundishwa na mwalimu huyu aitwaye Aron Athanas Kwa mujib wa...
7 Reactions
57 Replies
7K Views
Wadau, amani iwe kwenu. Sasa naona baadhi ya vyuo wameshaanza kumuelewa Rais wetu. Utaratibu huu wa UDOM ukiendelea hadi kwenye vyuo vingine hakika hakutakuwa na malalamiko ya wanavyuo...
6 Reactions
43 Replies
8K Views
Kama umechaguliwa kuingia mzumbe Main Campus Morogoro Uliza chochote hapa upate jibu kabla hujaenda morogoro...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
[emoji310] [emoji310] [emoji428] [emoji422] [emoji433]
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Namshukuru mungu kwa kunifikisha siku muhimu kama ya leo Kuna watu wengi wametamani kufika lakin wengne hawakufika kwa maradhi, kifo na kutokufuzu. But leo wanajamiiforums nimefanya mahafali...
3 Reactions
50 Replies
6K Views
What's the historical background of adult learning education in Tanzania after independence. NAWASILISHA KAMA UNA CHA KUNGIA BORA KUPITA.
2 Reactions
2 Replies
17K Views
Habari wana jf, Naomba kuuliza TCU wanatoa lini matokeo ya wenye diplama kwenda degree raundi ya nne maana siku zinaenda wenzetu wanaendelea kusoma......
0 Reactions
21 Replies
3K Views
ikumbukwe kuwa kulikuwa na mpango wa walimu wa astashahada(certificate) kuhakikisha wanajiendeleza na kuwa na stashahada...sasa jana nikiwa ofisini ktk chuo kimoja cha ualimu mkuu akanidokeza kuwa...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Yapita sasa wiki tatu na wengine wiki NNE bila boom wengine hatujaona maina ya kusaini ilihali vyuo vingine mambo ni poa. Huku kwetu vipi tumekopa hadi basi. Saidieni kutufikishia ujumbe majuu au...
1 Reactions
43 Replies
4K Views
Back
Top Bottom