Habarini ndugu zangu wana JF,
Leo nilikuwa pale OUT branch ya Iringa nikihudhuria orientation course. Ndugu zanguni wanafunzi wengi wameingiwa na hofu kubwa juu ya hatma yao kuhusu msimamo wa...
Wakuu,
Nimepata Hii Fursa ya Kufundisha Somo la Dini ya Kikristo Katika Shule za Serikali na Binafsi!
Japo ni Kujitolea na Maslahi Kiduchu,ila Nimeona Si Vibaya Iwapo Nitasaidia Kuipeleka Injili...
Ndugu wanajamvi taarifa zinazoenea kwa kasi kwa sasa katika chuo kikuu dodoma ni mpango wa mgomo na maandamano yanayo ratibia na wanafunzi wenyewe kwenda kwa waziri mkuu kwake kufikisha kilio...
Naombeni ushauri wa master course nzuri ya kuchukua kati ya public administration, sociology na marketing management, mostly in terms of validity ya soko la ajira
Amani iwe kwenu,
Walimu wakuu wote mkoani Mtwara ambao shule zao zimevurunda katika mtihani wa shule ya msingi mwaka 2016.
Aidha rungu hilo limewashukia pia maofisa wa 4 na baadhi ya walimu wa...
Hii ni kwa Vyuo vyote vya serikali na binafsi.
Elimu ya diploma ilikuwa chini ya NACTE sasa inarudi NECTA na kufuata mfumo wa zamani.
Higher Diploma imefutwa.
Source: Waraka namba 5 wa tarehe...
Hivi karibuni wizara ilitangaza kufuta mafunzo ya Ualimu Elimu ya Msingi ngazi ya Stashahada na kurudisha mfumo wa Astashahada ambao ulikuwapo zamani.
Ikumbukwe kuwa kipindi cha nyuma Ada ya...
Sisi Wazazi wa wanafunzi wa Vyuo Vikuu waliokosa mikopo tumesononeka sana na tuna simanzi sana kwa watoto wetu kukosa mikopo ambayo ni haki yao kama Watanzania.
Wanafunzi wengi pia ni wale...
Jamani naomba maelekezo jinsi ya kuappeal mkopo kuna sehemu ya kuingiza password alafu kuna sehemu ya security code sasa apo kwenye security code unaweka nn?
Tangu awamu ya selection iliyopita profile imeandika Wait for evaluation. Na leo tena imefunguka lakini ipo blank sijui ndio nishakosa Chuo au vipi.Wadau nijuzeni
Inaumiza sana kuona baadhi ya vijana wa kitanzania waliojiunga na elimu ya chuo kikuu wanarudi makwao.
Serikali ni bora ikajipanga vyema kuwanusuru vijana hawa maana wanaandaa kundi la watu wenye...
Tumepata Taarifa Ya Kubadilishwa Kwa Curriculum Ya NTA Level 5 Clinical Medicine Lakini Mpaka Leo Hatujapatiwa Module Mpya Tunaendelea na za zamani
Hivi ni Lini Wizara itatupatia??????
habari zenu ...nilikuwa naomba kueleweshwa kuhusiana na hili mwakani natarajia kujiunga na chuo cha ufundi iringa kinachoitwa donbosco fani ya electrical installation swali langu ni je kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.