Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wanafunzi 28,638 waliomaliza darasa la saba 2016 wamekoswa nafasi za kujiunga na kidato cha kwanza 2017 pamoja na kufaulu hiyo imetokana na upungufu wa madarasa,miundombinu ya shule ,upungufu wa...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Wakuu kuna swali apa kuhusiana na wamakonde linasema "Kupitia kabila la kimakonde, elezea asili ya ulimwengu, binadamu na maisha yake baada ya kufa" Msaada tafadhali kwa hilo
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau habari zenu! Wakuu naombeni msaada wa mawazo, nimefanya maombi ya udahili nje ya nchi(Netherlands) shahada ya Uzamili (Masters ). Nimetuma viambatanisho vyote muhimu, naambiwa bado...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Finland ni moja wapo ya nchi zenye mfumo bora sana wa elimu duniania na watu wake wameelimika....vizur katika maeneo ya mawazo binafsi, ubunifu, vipaji nakadhalika....tunalipi la kujifunza kwa...
0 Reactions
2 Replies
821 Views
Dah nimekumbuka shule ya msingi enzi hizo aiseee.Nimekumbuka zile moto za shule ya msingi jinsi tulivyokuwa tunalishwa sumu enzi zile. Primary nilisoma shule mbili ambazo ni 1.Shule ya msingi...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari za muda huu wapendwa! Nina swali moja kuhusu taratibu za kuomba ruhusa bila malipo au kusitisha ajira kwa muda ili baadae ni'resume' ajira yangu serikalini. Kufuatia sintofahamu ya ajira...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mhe: waziri wa elimu professor joyce ndalichako hebu sisi wanafunzi wa kreluu teachers college tunaomba utupunguzie michango ya kusoma stashahada ya ualim wa sayansi ukizingatia ulisema kwamba...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa mtizamo wangu hizi foundation course zipelekwe NECTA kama vipi kukata mzizi wa fitina..... Nawaza tu msijenge chuki
0 Reactions
0 Replies
717 Views
Habari zenu wadau naombeni ufafanuzi kuhusu mtu anayesoma bacheror in degree of marketing and public relation akisha maliza anadili na masuala gan hasa kikazi.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kwema wasomi? Leo ningependa kutoa maoni na malalamiko ambayo yapo katika ubongo wangu dhidi ya utolewaji na urudishwaji wa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu. Before...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari za wakati wana JF, Nilichaguliwa.ualimu elimu ya msingi mwalimu nyerere memorial academy nilitaka kuhama kulingana na jinsi tunavyo fundishwa kidigree zaidi wakati hatuendani lakini...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wana jamnvi leo nimeshangaa sana na kusikitika kusikia wapo form 4 ambao walikuwa na div 4 na walijiunga na vyuo vya ualimu, kwa sasa wanafunzi hao waliachishwa kusoma na kuambiwa warudie hadi...
2 Reactions
27 Replies
4K Views
Hawa ni wale wanafunzi wanaosoma special program science, mathematics & ICT wanalazimika kusimama masomo yao kwa wiki mbili tar 5-19 ili wasahihishe mtihani wa taifa darasa la nne baadhi ya vyuo...
1 Reactions
43 Replies
5K Views
Kaka zangu na Dada zangu wakubwa shikamon wadogo marahaba nielekezwe naweza kutumia king'amuzi bila antena? Kwa uku mkoani? Au inakuaje apo mwenye uelewa apo anileleze
0 Reactions
2 Replies
812 Views
Mmetoa majina ya continuing students lakini first year hatuoni majina ya kusaini. Hela ya kujikimu boom hatuna na tulipata mkopo. Sasa hatuelewi, tunakufa njaaa huku!
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wakuu, Naomba kuuliza, vipi hiyo course ipo 'tafu' sana? Ningependa kupata ushauri kidogo kwa wanaoifahamu.
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Ili wimbo wa kuisoma namba uwe mtamu zaidi Mshairi smeamua kuongeza kidokezo cha "NA WAHITIMU WA MWAKA HUU" UNGANA NAMI KATIKA WIMBO HUU KWA JAMII YA WASOMA NAMBA [emoji15][emoji15][emoji15]...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimeona kama mdau nifungue ukurasa ili kupata maoni ya wana zuoni na wadau wengine ktk Elimu. Hoja yangu ni hii hivi karibuni waziri alifuta udahili wote wa diploma ya elimu msingi na pia...
3 Reactions
63 Replies
8K Views
Sorry guys mimi ni mwanafunzi ndo nimeanza chuo can some one help me with the elements of hard news stories pliz zikiwa well explained na mwenye sources pia anisaidie ili nitafute nipate uelewa...
0 Reactions
3 Replies
740 Views
Nimesikia kuanzia January wale wanaodaiwa na heslb kuanzia january kukatwa 15%,je hizi habari ni za kweli wajameni?
0 Reactions
4 Replies
943 Views
Back
Top Bottom