Nina GPA 2.8, accountancy, niliapply kabla new GPA haijawekwa ya 3.0, nyumbani wananiona sifai hadi ninatamani kujiua ninapenda kuendelea na elimu ila kadri siku zinavyoenda ninazidi kuwaza sana...
Nawaza vijana wakiitisha Maandamano kushinikiza haki sawa watakuwa wamekosea ama ni haki yao.
Kwa maneno machache kabisa kama uzi unavyojieleza si haki kwa jinsi vijana wa diploma wanavyofanyiwa...
Kama kuna MTU anajua tofauti ya advanced diploma na ordinary diploma na tofauti ya miaka ya kusoma kwa alietoka 4m 6 aliepata 3 au 3 nayo asaiv kama 4m 4 tu kwa anaejua?????
Muda unazidi kuyoyoma na majibu hayapatikani. Ukiingia TCU wamekuandikia Provisionally Selected, ukiingia kwenye webs zao bado hakuna kilichowekwa. Sasa mimi niliomba physically MUM na nikapata...
2ND OCTOBER 2016 22:35:00
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UTEUZI WA AWAMU YA TATU, UHAMISHO NA KUONGEZWA KWA MUDA WA KUFANYA MAOMBI KATIKA KOZI ZA ASTASHAHADA (CHETI) NA STASHAHADA (DIPLOMA) KWA MWAKA WA...
wakuu ,,Habarini .naombeni mnijuze kuhusiana na hawa TCU kuna mdogo angu alifanikiwa kupita katika round ya kwanza na akaambiwa asubiri confimation ya chuo lakini vyuo vyote alivyo jaza...
Kwenye Bara letu la Africa watu wengi ni wafuasi wa dini mambo mengi kama uongo, uzinzi, tamaa wanavyokatazwa ndo sehemu ya maisha yao ya kila siku, sasa wanaendelea kufanya nini kama wanayoongea...
Habari zenu wanajamvi,napenda niwashauri wadogo zangu mnaoenda chuo mkawe na discipline ya fedha na nafikiri mmejionea hali halisi ya maisha huku mtaani ajira zimekua ngumu na mambo kadha wa kadha...
Naomben wanaJF mnifahamishe,
Hivi hiki chuo kikuu cha MUM maombi yake hayapitii TCU? Nashangaa kuona wametoa second round ila vyuo vingine hata dalili havina.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.