Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
dah mana mda unazidi kwenda na huu ni mwez wa 10
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Leo mkurugenz wa bodi ya mikopo alikua akihojiwa kua tcu ilishusha jpa kwa diploma had kwa 3.0 je ikitokea wamepangiwa chuo mikopo watapataje kwa maelezo yake akasema...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Utaratibu Wao Wa Kuchakata Majina Ya Wanafunzi Wa Mwaka Wa Kwanza Unafanyika Je ? Na Majina Kwa Waombaji Wa Mwaka Wakwanza Watatoa Lini?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani mbona mi nikilogin kwenye akaunti yangu nakutana na neno provisional selected na nimeaply toka awamu ya kwanza
1 Reactions
11 Replies
1K Views
were all..on the same way...just put here your number...
0 Reactions
2 Replies
836 Views
kama uliomba ajuco md ntafte niulize chochote kuhusu ajuco
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu mimi ni mhitimu wa shahada ya Maabara za afya (Health Laboratory Sciences),naomba kufahamishwa utaratibu utumikao kutuma maombi ya kujiunga na mafunzo kwa vitendo(internship) hasa kwa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
NAVIGATION NOTICE TO LOAN APPLICANTS TO CORRECT NECESSARY INFORMATION During the exercise of processing2016/2017 loan application forms, the Board has come across loan applications which are...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Karibuni wana jf..mimi napenda sana uongozi na nina ndoto siku moja nikifika chuo either nikiwa mwaka wa tatu au nne niwanie kuwa rais wa chuo,,,maana toka shule ya msingi hadi advance...
0 Reactions
23 Replies
10K Views
Heshima kwenu wakuu.......naomba mnisaidie kuhusu hii App ya thl.....kama ukifungua account ya huko thl App na pia ukilipia kwa mwezi au miezi....je..utakuwa una log in yaani kuitumia wakati...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Hello Nilikua nauliza kama vyuo wanatoa Open days na tester days,lengo ni kumpa mwanafunzi uelewa wa course anayoitaka kufanya na wapi..?? Sio watu wanachagua somo, mwisho wanakuta sio passion...
0 Reactions
7 Replies
877 Views
Samahani wanandugu mm nimechaguliwa UDSM mechanical eng kw kuanza mwaka huu....ila yan sielwi chochote kuhusu fani hii,kwa kuangalia soko lake na pia changamoto ya hii kitu,na yani inahusu nn hasa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana JF wote mnaosubira kwenda chuo.... wakati tunapofanya application za kwenda chuo hasa kwa wale wanaosoma course ambazo hazina ajira ya moja kwa moja . Nitajaribu kuoredhesha baadhi ya...
7 Reactions
50 Replies
8K Views
Napenda nifahamu hivi kuripoti vyuoni kwa wale wa first selection na second selection kutakuwa na utofauti wa tarehe ya kuripoti? nifahamisheni wanajf
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna chuo cha Kigoma kinatoa certificate na diploma in meteorology. According to NACTE ni government sponsored. Je ukimaliza ni ajira moja kwa moja? Na ukisoma certificate unaunga diploma hapo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za muda huu, Ningependa kufahamu zinatoka lini selection za kuingia vyuoni kujiunga na bachelor degree, kwa wanafunzi waliopitia diploma(stashahada) mwaka huu
1 Reactions
0 Replies
845 Views
Kwenu wanajamvi! Nina jamaa zangu wanahitaji vitabu vizuri vya somo la historia na Kiingereza kwa kidato cha II, III, IV, V na VI. Tafadhali mtu mwenye ufahamu mzuri atoe msaada wa mahali pa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habar wanajamvi!! Kwa wale tunaoenda St Johns main campus Dodoma karibu tujuane ili kujenga urafiki na kubadilishana mawazo kabla hatujafika chuoni.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wana Jamvi. Nina mdogo wangu ana hizi marks kwenye matokeo yake ya FORM FOUR mwaka jana 2015. Biology D Chemistry D Kiswahili C Mengine yote ana F Huyu dogo anataka kusoma mambo ya IT...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Wakuu ivi I Ada ya Tcu ua tunalipa kila mwaka? Kama ni ivo inakuaje wakati tumedailiwa mara 1 mwenye uelewa atufafanulilie apo..... Asanteni
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom