Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habar ndugu zang, nataman kuchagua course ya renewable energy technology ktk chuo cha DIT nilikua nauliza upatikanaji wa ajira na je hii course ntawezaje kujiajiri mm mwenywe...?? Naomba mawazo yenu
0 Reactions
0 Replies
671 Views
Wadau mimi nimejaza kila kitu wananiambia NOT APPLICANT SIGNATURE and NOT SIGNED BY MAGISLATOR sasa sijui vip mnanishauri nini.
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari wakuu; Naomba kujuzwa juu ya shahada zifuatazo; 1:Bachelor degree in planning&community development. 2:Bachelor degree in population&development planning. Naomba nijuzwe yafuatayo 1...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
shule nzuri ya wasichana yenye walimu wa kutosha, ijawai kutoa matokeo mabaya Kwa mawasiliano 0765323944
1 Reactions
0 Replies
862 Views
kwa wale mliokosa first round TCU kuwen wavumiliv TCU wafanye kaz zao kwa umakin sio kaz rahisi kuwapanga wanafunzi .tunatarajia wiki ijayo selection zitatoka na kila aliyeomba atalidhika na matokeo
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Nawasalimu katika Jina La mwenyezi Mungu, wakubwa zangu heshima kwenu. Nimeamua Leo nitoe ushauri kwa wadogo zangu ama pia wakubwa zangu ambao watabahatika kuchaguliwa kujiunga na elimu ya juu...
19 Reactions
28 Replies
3K Views
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UTEUZI WA AWAMU YA TATU, UHAMISHO NA KUONGEZWA KWA MUDA WA KUFANYA MAOMBI KATIKA KOZI ZA ASTASHAHADA (CHETI) NA STASHAHADA (DIPLOMA) KWA MWAKA WA MASOMO 2016/2017 Date...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Wizara ya elimu sayansi na teknolojia imefuta posho ambazo walikuwa wanalipwa walimu pindi wako kwenye kazi ya kusairisha mitihani kama pesa yao ya kujikimu badala yake serikali imedai kuwa zoezi...
8 Reactions
308 Replies
35K Views
Habari zenu nimeomba mkopo nimeambiwa NO GUARANTOR ID. Anayejua maana ya hili naomba anisaidie.
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Wakuu mwenye namba unayotumika na loan board anitumie maana kwenye website yao cjaiona
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa mtazamo wako na hali halisi ya sasa Kati ya elimu na pesa wewe unachagua kipi toa maoni yako... Karibu
2 Reactions
46 Replies
8K Views
www.suanet.ac.tz ingia uone jina lako
0 Reactions
37 Replies
7K Views
Eti nasikia 2nd round wametoa mwenye information atupe ukweli maana atuelewi elewi
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu naombeni msaada wa Fee Structure ya UDSM undergraduate.Kuna mambo kadhaa ningependa kujua kwa bahati mbaya siyaoni kwenye website yao. Labda kama kuna mtu ana prospectus ya 2016/17 Direct...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wanajukwaa la elimu hamjambo? Naandika haya yaliyonikuta kwenye mfumo wa cas ya tcu 2016/17 na sijui yaliyotokea huko nyuma ie 2015/2016 etc. Yaliyonikuta. Shemeji yangu alimaliza form4 2013 na...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Morn jf. Nimekuja kwenu kuomba ushauri kimawazo mwanzo niliambiwa nitafute chuo nikachaguliwa certificate in law mzumbe now Wazazi wanasema hawana Ada nivumilie mpaka mwakani ila watashulikia...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Natafuta chuo cha private kinacho fundisha diploma ya secondary, kwahapa dar es salaam.
1 Reactions
14 Replies
1K Views
jamani kwa wale wanafunz waliochaguliwa kwenda teofilo mbeya lini tarehe ya kufika chuoni? maana naona kimya wala website yao hawajaweka hcho ktu.
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Back
Top Bottom