Habari zenu wadau, Samahani sana wadau wa elimu, Nina mdogo wangu kachaguliwa kujiunga na Astashahada (Certificate) ya Sheria katika Chuo kikuu cha Dar-es-salaam (UDSM) Kupitia NACTE, Kwenye...
Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu nchini Tanzania (HESLB), imetoa rasmi orodha ya majina ya waombaji ambao wamekosea kujaza fomu za maombi ya mkopo kwa mwaka wa masomo wa 2016/17.
==========
HIGHER...
Salama wakuu ! Naombeni kujua wigo wa hii course ilitajwa hapo juu . kuhusu field zake maana kuna mdogo wangu anang'ang'ania. Mimi kama kaka yake sina ujuzi na hiyo course
Habari.
Nnahoja binafsi, inayohusu namna wakuu wanavyo ongoza shule zao na matokeo mabovu ya wanafunzi wao.
1. Matumizi ya misuli badala ya ushawishi.
Katika shule kadhaa around 27 na...
Kujitambua kwa wakati ni kujielewa nini ufanye ktk wakati na mazingira stahiki.
Wengine wamekuwa wakifanya vitu bila ya kujitambua kama hicho akifanyacho ni ktk wakati sahihi na mazingira...
INGIA HAPA
Chini ya maelezo kuna pameandikwa Clicking here[/Red]
ukiclick unaanza kudownload majina yapo kwa oder ya index namba yako ya
o-level
Hakikisha simu janja yako ina Adobe Reader au...
bodi ya mikopo ya vyuo vikuu leo imetoa majina wa wanafunzi ambao waliomba mkopo lkn kukawa na makosa yaliyojitokeza wakati wanaomba na hivyo kutoa muda wa siku kadhaa ili kufanya marekebisho...
Habari za asubuh jamani..? Naomba mnisaidie hivi kwenye majina ya waliokosea vitu vidogovidogo kwenye kuomba mkopo zile namba mwanzoni zimekaaje ni za form four au? Nisaidien
TAARIFA KWA WANAFUNZI WALIOOMBA MKOPO 2016/2016. kumekuwa na taarifa zisizo rasmi juu ya utolewaji wa majina ya wanafunzi waliokosea kuwa yameshatolewa ila naomba niwekr sawa.bodi ya mikopo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.