Habari wakuu.
Kuna baadhi ya vyuo vinaanza usajili kesho,mfano Tumaini campus ya mbeya, na kwenye fee stracture yao wamesema tulipe kila kitu kuanzia tuition fees nk. wakati huo bodi ya mikopo...
BREAKING NEWS
BODI YA MIKOPO IMETANGAZA MAJINA YA WANAFUNZI FORM 6 NA DIPLOMA WALIOKOSEA KUJAZA FORM ZA MIKOPO 2016/2017
DEADLINE YA KUFANYA MASAHIHISHO NI TAR 7/10/2016
TAFADHALI TUMA KWENYE...
Muuza matunda alikuwa na machungwa, peas na maembe. Baada ya kuuza baadhi, zilibaki peas 6 kwa kila machungwa 5 yaliyobaki na machungwa 7 kwa kila maembe 3 yaliyobaki. Aliuza machungwa 168. Idadi...
Nina ndugu yangu amechaguliwa kujiunga na chuo cha kilimo na mifugo tengeru arusha kwa kozi ya certificate in Animal health and production kupitia mfumo Wa NACTE Central admission system (CAS)...
jamani kama utachaguliwa udsm katika campus yoyote nakuhitaji uje kwenye group la whatsup official kabisa UDSM 1ST YEAR 2016/2017 nichek kwa 0717349775 niku add faster...
Toka mwaka 1989 hadi 2000,chuo kilibadili Jina la chuo mara tano. Mwaka 2001, chuo kilisitisha kozi zote za ughaibuni ili kuzuia wenye vyeti feki.
Wengi wanao soma pale digriii zao huchukua muda...
Habari zenu wanajamvi...
Pia samahani kwa wale mtakaokwazika na uzi huu. Hakika ni jambo lisilofichika kwamba kwa sasa hv watanzania wameamka na kufahamu umuhimu wa elimu kuliko kipindi chote toka...
Kwa wale Wataalamu wa Kiswahili ningependa kupata msaada wenu juu ya swali hili:
Andika barua kwa mhariri wa gazeti la Mwananchi kuhusu kero ya ajira Tanzania. Jina lako ni KASHAIJA S.L.P 10...
Jamani nit vunjeni ukimya mtoe majina ya undergraduates mana hadi vingine vimeanza kutoa second round nyinyi first round hamtoi mnatuumiza vunjeni ukimya
Anahitaji msaada wa kimawasiliano na uongozi wa chuo tajwa hapo kwenye title.Namba ya simu waliyoi-display kwenye profile yao haipatikani hivyo yeyote mwenye mawasiliano ya namba ya simu tofauti...
Habari za wakati ndugu wana jf kumekuwa na kaugomvi mtaani kuhusu uteuzi kwenye vyuo vya selikari kati ya diploma na certificate programs naomba kufahamu kama waliochaguliwa diploma in primary(pre...
Habari za sa hivi wana jamvi, najua au nafahamu wapo watu wwngi ambao wameshaongea sana kuhusu diploma holders hakuna mapya mimi leo hii nataka niongezee tu, kama mnavofahamu sio watu wote...
Serikali ya wanafunzi wa chuo cha taifa cha usafirishaji inatarajia kusimamia uchaguzi mkuu wa serikali hiyo kwa mwaka wa masomo 2016/17 huku changamoto kubwa kwa wanafunzi ikiwa ni mazingira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.