Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Nimemaliza degree ya computer engineering Lakin moja ya ndoto zangu ni kuweza kupaisha ndege. Sasa nataka kujua kama Kuna chuo chochote cha urubani Tanzania kinachotoa walau short course za...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habar wana jf kwa walio omba second round chuo cha Mum watembelee maswa yetu blog kuona majina yao
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Muhas awaeleweki mpaka muda huuuuu..
0 Reactions
1 Replies
852 Views
<<Click this link for more information >>
1 Reactions
4 Replies
738 Views
Habari zenu wanajamii, Mimi ni mwalimu nilimaliza form six 2010 nikiwa na Physics S, chemistry S na Hesabu D. Nilirisiti 2014 Physics na Chemistry nikapata PhysE na Chemi D, Sasa je naweza...
1 Reactions
32 Replies
6K Views
Wana JF naomba kuuliza ubora wa ma lecture wa hiki chuo maana nasikia ni mmoja anaye hold PHD
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kwa wale waliopo chuoni mwaka wa 2, 3 na kuendelea... kipi bora kumbeba mwaka 2 au 3 au kuishi peke yako? UDSM alumni mtakuwa mnanielewa sana, nahitaji maoni yenu.
0 Reactions
0 Replies
382 Views
habar wadau, jaman mwenye joining instruction ya technician cert in primary education mount meru univ anisaidie
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wakuu. nauliza kwamba nikichelewa kuripoti chuo wanaweza wakanirudisha? maana kwenye joining instruction wamesema *your chance is given for two weeks only* sasa nkiangalia direct cost ni...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Saut mwanza mnakatisha tamaa bana,achieni majina tujue cha kufanya
1 Reactions
0 Replies
342 Views
Natafuta wenzangu tutakao kuwa hapa!!
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Ndugu zangu naombeni msaada, mimi nilihitimu O level 2007 but sikufanya vizuri hivyo nikaamua 'kurisiti' mwaka 2009 na kituo changu cha mtihani kilkuwa Mbez Beach High school ila kusoma nikawa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habar ndugu zang, nmechagua course ya renewable energy technology ktk chuo cha DIT nilikua nauliza upatikanaji wa ajira na je hii course ntawezaje kujiajiri mm mwenywe...?? Naomba mawazo yenu
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Sisi wenye vyeti vya diploma hatujachaguliwa mpaka leo kwenda kusoma Degree...tutachaguliwa lini?tumechoka kusubiri
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habar ndugu zang, nmechagua course ya renewable energy technology ktk chuo cha DIT nilikua nauliza upatikanaji wa ajira na je hii course ntawezaje kujiajiri mm mwenywe...?? Naomba mawazo yenu
0 Reactions
0 Replies
851 Views
HABARI hv ukiwa umepata supplimentary bt kwenye kwenye corsework huna marks or ulipata zero.so hapa nini natakiwa nifanye.ili kuclear it.na sup umefanya but matokeo hayajabadilika
0 Reactions
2 Replies
799 Views
Eti wakuu kati ya ICT na accountancy kipi bora kwa kusomea[emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji56]
0 Reactions
5 Replies
982 Views
Bodi ya mkopo leo imetoa majina ya waombaji wa mwaka 2016/2017 waliokosea kwenye form zao na wengine watakiwa kufika kwenye ofisi za BODI hawa ni wale ambao hawakusaini kwenye fomu hivyo...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Back
Top Bottom