kwa first year wote waliochaguliwa udom-college of informatics and virtual education (CIVE) 2016/2017 tukutane hapa uliza swali lolote utajibiwa! karibuni sana na hongereni sana kwa kuchaguliwa...
Ninajua kua wengi wanaweza kunipinga sana humu juu ya andiko hii lakini mimi ninaandika kutoa maoni yangu mimi kama mimi Mahanju, ninasema hivi kwa jinsi ninavyoona mimi.
Nimekua nikitafakari...
Habari zenu wana jamii forum!
Naomba kujua kwa wale wenye GPA ya 3.0 walio apply juzjuz tu je kuna aliyechaguliwa?
Cz mm nimetembea website za vyuo nilivyo apply co majibu wala tanagazo lolote...
Napenda kuwasiliana na wanaosoma hiyo Coarse tajwa hapo juu, iwe mwaka wa pili au wa tatu, aliyehitimu hivi karibuni kwenye chuo hicho cha UDSM ili tushauriane mambo mawili matatu kuhusu hiyo...
Food for Thought !!!
Technology is changing the way we think, focus and learn. Still, the schools are using teaching methods from the era before advanced technology.
Watch and Learn
Habari wakuu
Chuo cha maji kimetoa majina ya diploma holder na form 6 kwa pamoja first batch, hvyo tusubri kidogo na tuamin kwamba hatujatengwa
Asanteni
msaada jaman. naona nimechaguliwa chuo, na kwenda ni tarehe moja october ila sijui mkopo naangalizia wapi na nimepata asilimia ngapi??. kwa mwenye taarifa msaada jaman.
Nashauri TCU na NACTE wafanye haya:-
Warudishi mfumo wa mwanzo wa kudahili wanafunzi muda wowote kwa vyuo, kama ilivyo Open University of Tanzania na Jomo kenyatta University lakini udahili...
Vyuo Vilivyotoa Selection (machaguo) Ya Majina Ya Wanafunzi Waliochaguliwa kujiunga Vyuo Vikuu Mbalimbali 2016/2017 Vyuo Vilivyotoa Selection (machaguo) Ya Majina Ya Wanafunzi Waliochaguliwa...
Ndungu wana jf habari za wakati kuna ndungu yangu amechaguliwa mwalimu nyerere kigamboni kusomea techinician certificate in primary education lakini kuna vitu ningeomba mnisaidie maelekezo kidogo...
ndugu zangu najua kuna mliokosa first round ya TCU ,,wengi wenu kwa sasa mnajaza course yoyote ili mradi upate chuo eti ukifika utabadili course....
natoa angalizo hii iliwahi kunikuta na mimi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.