Habari zenu wanajamvi,
Hivi jamani hawajamaa wana ajenda gani ya siri?
Mpaka Leo tarehe 27/9/2016 hawatoi matokeo ya udahili wanamaana gani??
Au ndo wanatafuta kiki ??
Au nyie mnaonaje wakuu...
Wanabodi.....
Kwa sisi tuliofanya maombi mapya ya mikopo ya elimu ya juu mwezi wa saba mpaka wa nane.
Je majibu ya maombi yetu mtatupa lini maana vyuo vikuu ndo hivyo vinaanza mwaka mpya wa masomo.
Ndg wadau nina masikitiko makubwa kuhusu vyuo vikuu vinavyopandisha ada kiholela, hilo limetokea mwaka huu wa masomo 2016/17 katika chuo cha Stella Maris Mtwara University Collage, kwamba...
Nlipata IV ya 27 mwaka 2010. Nlipata D ya Biology na D nyingine za masomo mengine ya Sanaa hivyo nikaenda kusoma Certificate in General Agriculture huko Bagamoyo. Baada ya kuhitimu tukaambiwa...
habari wa kuu kuna siku nilikutaga tangazo kwenye mtandao kuhusu chuo kinachoitwa Cavendish univasity of Uganda nikajisajili kusoma course ya bachelor of computer science leo kuna enrolment...
Wakuu naombeni msaada wenu nimechaguliwa course ya political science and public administration university of Dar es Salaam.Naombeni kufahamu kuhusu hiyo course na mengine mengi kuhusu udsm.Pia...
ubishi katika elimu, hivi ni nani anastahili kupewa cheti cha form four?(sio leaving) na je mtu kama alimaliza shule miaka ya 90 kurudi nyuma imean 90,89,88,........ anawezaje kujuwa matokeo yake...
msaada wakuu,kwa wale wa chuo cha usafirishaji NIT hivi waliochaguliwa diploma wanafungua lini na joining instructions zishatoka?? kwa wanaofahamu naomba mnisaidie,kuna mtu amechaguliwa hapo...
nina mdogo wangu amechaguliwa kwenda udom lakini hawajamwandikia anaenda kusoma course gani kule lakini kwenye maelezo yao kwenye website ya nacte wamesema unaweza kudownload form kupitia website...
jamani chuo kikuu cha teofilo kisanji tayari kimetoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na chuo hicho kwa ngazi ya degree. vipi chuo hiki kipo vzuri???
NINA MDOGO WANGU BAADA MATOKEO YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA VYUO VYA UALMU KUTOKA EMAIL YAKE IKAWA NA MATATIZO HIVYO AKASHINDWA KUPATA PASWORD ALIYO TUMIWA WAKATI WA KUTUMA MAOMBI HIVYO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.