Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Naomba jamani wakitoa majina ya waliochaguliwa muhas tuambiane ,,,,make washatujazia mastress knoumah yan,,,,kwa kweli hapa kazi tuuuu!
0 Reactions
17 Replies
2K Views
hivi hiki chuo chenyewe huwa kinakua cha mwisho kutoa post...almost vyuo vyote vya serikali na private vimefika 20 lkn sijaona ardhi sua wala mzumbe...watoe basi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Najuta kuchagua hata iyo muhas wazembe kiasi hiki . Kama admission tu hivi je academi c itakuaje??
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wadau bora IPI kwa maisha ya chuo??????? Kuishi hostel za chuo au kupanga mwenywe out campus?????
0 Reactions
36 Replies
7K Views
Kuna diploma holder yeyote kapangiwa katika vyuo ambavyo vimetoa wanafunz au ndio tumewekwa kwenye second selection
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM)kinaendelea kujitenga kiubora,na Taasisi na Vyuo vingine vya Elimu ya Juu nchini,kwa uamuzi wake wa kurejea utamaduni wake zamani kudahiliwanafunzi wenye ufaulu...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Wakubwaa shikamooni...!! Mdogo wenu naomba msaada wa kozi hizi kwa second round UDSM kuna Bachelor of Engineering Geology nafasi 3 zmebaki na Agriculture engineering and mechanization nafsi 12...
2 Reactions
45 Replies
8K Views
Wadau naomba kujuzwa tarehe ya kuripoti hapo chuo kwa wale wa ngazi ya cheti maana nina mdogo wangu kachaguliwa pale ila hadi sasa hajapata hata join instruction form masaada jamani
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hivi mtumishi wa uma espacially mwalimu anapoamua kuomba ruhusa isiyo na malipo kipi kibaya kinaweza kutokea kwake. Pia naomba ufafanuzi kwa mambo yafuatayo 1. Kuna ugumu wowote ktk kupata likizo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu wadau wa elimu, Nimekuja na suala moja tu ambalo naona kama halipo sawa katika hii sekta ya elimu, suala hili ni ada !! Ivi inakuwaje vyuo kama UDOM,UDSM,MZUMBE,SUA, n.k ambavyo...
2 Reactions
18 Replies
4K Views
wakuu nahitaji kukijua chuo hiki vipi kuhusu mikopo
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wana jamvi, Napenda kuuliza kuhusu selection za TCU, hivi kwa watu walioandikiwa Provissionaly selected hadi chuo kiwathibitishe, ikitokea chuo hakijamthibitisha nini kitatokea kwao...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kila niki login kwenye account nakutana na haya maneno "You have been provisionally selected. The programme selection shall become final after the University/Institution confirms you for...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Jamani wahusika wa NIT tuhurumieni basi mtoe majina mana duuh presha zitatuua na kumaliza masalio kila siku kununua vocha kwa ajili ya MB KUFUATILIA UPDATES pia tunaathirika kila Mara Internet au...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Hivi mtumishi wa uma espacially mwalimu anapoamua kuomba ruhusa isiyo na malipo kipi kibaya kinaweza kutokea kwake. Pia naomba ufafanuzi kwa mambo yafuatayo 1. Kuna ugumu wowote ktk kupata likizo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kumekuwa na utatanishi kuhusu mwezi wa kuingia chuo, wengine wanasema ni mwezi wa 10 wengine mwezi wa 11. Je lipi ni sahihi?
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Mfano nimefanya Bachelor of Accounting nikamaliza mwaka huu, je mwakani naweza kutumia matokeo yangu ya form six kuapply upya tena TCU nikafanya degree tofauti, labda degree ya ICT.
3 Reactions
24 Replies
5K Views
Naomba aliona post za ifm anipostiee koz mim naona mibox tuu amnaa majinaaa
0 Reactions
3 Replies
679 Views
Jaman hawa mzumbe mbona wanaweka watu roho juu kwa kuchelewesha majina
0 Reactions
1 Replies
758 Views
ningependa kutanguliza salamu kwa wanajf wote kwani mmekuwa msaada sana katika kupeana habar ningependa kuuliza maswali kuhusu CHUO cha DIT kwa anayekifahamu 1)elimu ya pale ni ya aina gani is it...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom