Habari wadau naomba kuuliza anaejua chuo cha nursing chimala kama kinesajiliwa ama lah! AMA Naweza nikatumia njia gani kujua chuo kimesajiliwa ama lahmsaada wa haraka jamn
Mliruhusu watu waapply direct chuoni na watu wakalipia elfu thelasini kama application fee lakini mpaka sasa open university hawataki kutoa majina hayo ya ngazi ya degree chakushangaza leo ndoo...
Wana JF habari zenu,nina GPA ya 3.56 ktk degree ya uchumi ninatafuta full scholarship/grant ya kuendelea na degree ya pili ( master) ya uchumi/Policy dvt/ project management/MBA mwaka kesho.Nchi...
Kama unasoma course ya Diploma in crop production (DCP) mati-u tukutane hapa, pia tuwatie moyo na tuwape mwogozo wanao taka kujoin kipindi kijacho, kwa ufupi kwa mtu aliye soma CGA (certificate in...
Hivi kama mtu amepangiwa chuo lakini kutokana na hali ya maisha akakosa hela ya kuanzia na akaamua kuahirisha mwaka hadi mwakani atakuja kuapply tena vyuo hiyo mwakani au inakuaje?
Samahani wanajukwaa naomba kuuliza hivi eti inafaa kwenda chuoni moja kwa moja kuomba nafasi wakupangie hapo wakati umesha apply vyuo vengine unasubiri tofauti na hicho??
Habari wanajamvi
Nina mdogo wangu amechaguliwa chuo UDOM kozi inaitwa bachellor of science in biology kitu ambacho hakuchagua kati ya yale machaguo ya tcu
Sasa naomba mawazo yenu juu ya hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.