Habari zenu wakuu,
Naomba kujuzwa kwa anayemjua huyo jamaa maana nimemsikia na kumtaja toka nilivyokua mtoto mpaka sasa, ila bado mpaka sasa hivi simjui ni nani!! :behindsofa:
habari wana FORUM naomba kufahamishwa mwenye uelewa wa field za kazi ya mtu mwenye master of science in Epidemiology & Applied biostatistatistics inaotolewa KCMC na zile za MSc applied...
Jmani nilikuwa na uliza vipi kuhusu tuliokuwaa na GPA ya3.0 natulishaa apply mikopo kipndi chazamani kabla hawajapandishaa GPA na tukaa ruhusiwaa kuaaply tena hvi karbuni je tunawezaa kupta??
Wakuu habari zenu ningependa tukutane hapa tujadiliane na kubadilishana mawazo nini kifanyike kukabiliana na migogoro,umaskini,ongezeko la mimba za utotoni,watoto ombaomba,watoto wa mitaani,na...
Hbr za mda huu wana body...
Ndg zangu sioni faraja wala tumaini lolote kwa jinsi mfumo huu ulivokosa Dora na uelekeo..
Tokea ngaz ya chin had juu in tabu na vurugu tupu
The following students have their status changed to Probation. They are therefore advised to appear for probation for the respective courses from Monday 26th September, 2016...
jamani bugando first batch list imetokaa click this link. http://www.https://jamii.app/JFUserGuide/2016/09/mpyahaya-hapa-majina-ya-wanafunzi-form_27.html?m=1
Waungwana kusoma na kufika Univeristy kwa mfumo halisi ni majaaliwa. Wengi wameunga unga kwa kuanzia QT na kujiendeleza mpaka kupata degrees huku wakiendelea kufanya kazi.
Sasa nauliza hizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.