Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Ardhi inaitwa bachelor of science in environmental science and management miaka 4 ya SUA inaitwa bachelor of science environmental science and management, tofauti ya hizo degree ni ipi naomba...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Naomba kuuliza kuhusu hiyo degree Katoka soko la ajira na pia kama no nzuri au ni some business administration pekee ahsanten
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Makumira wameachia tayari batch ya kwanza kwa msaada zaidi ingia HAPA
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ni vyema kujuana coz kila mtu anatoka sehemu tofauti tofauti Angalizo kama hakikuhusu sio lazima kuchangia ndugu yangu kwa inayomuhusu ataona umuhimu wake. MKWAWA UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Sikupata first selection ya chuo mwaka huu tuliombiwa tuombe second round chuo pekee kilichokuwa na faculty yangu ndo hicho please nipeni mwanga kidogo wa pale maisha ya tabora na product ya pale...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu msaada kuhusu utaratibu wa kupangiwa hostel za ndan ya chuo kwa wanafunzi wa DIT (level ya degree) ukoje? au nao wanawapa kipaumbele wanafunz wa first year? msaada please
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Habari wadau, Mimi kitaaluma ni Graphic designer ambaye nimekuwa kwenye hii industry kwa muda mrefu kidogo. Katika mazingira ya kazi yangu nimekutana na fursa ambayo nataka kuichangamkia, nayo ni...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimekosa first round nina DCE kwa PCB Je, kwa hapa nitapata? 1. MD-Kampala 2. Pharmacy-Kampala 3. MD-St Joseph
4 Reactions
89 Replies
9K Views
Salamu kwenu wadau, kwa anayefahamu, naomba kufahamishwa kwa undani kuhusu College ya COICT pale UDSM... Vilevile kwa wale waliofanikiwa kuchaguliwa any degree program COICT naomba tukutane hapa...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
jaman mbn saut hawaelewek mpak saiv kuhusumajina ya wanafunzi hawatoi
0 Reactions
2 Replies
788 Views
Nimekuwepo hapa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi na sivutiwi kabisa na kiwango cha taaluma kinachotolewa hapa,utaratibu wa tests na mitihani ni wa hovyo hovyo tu imagine lecturer anawapeni test...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Tafadhali wakubwa naomba kufaham kama majina yametoka saut mwanza
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Iv watu wanaosoma BED IN ICT wanaajiriwa na serikali mojakwa moja kama education ya masomo mengine
0 Reactions
2 Replies
747 Views
Nashauri TCU na NACTE wafanye haya:- warudishi mfumo wa mwanzo wa kudahili wanafunzi muda wowote kwa vyuo, kama ilivyo Open University of Tanzania na Jomo kenyatta University lakini udahili upitie...
1 Reactions
2 Replies
782 Views
Aiseee hawa nacte mpaka sasa wamesizi wakati vyuo baadhi wameshatoa first batch kwa wale walio apply kupitia TCU, Kulikonii
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna habari kuwa kwa takribani miaka miwili sasa baraza la mitihani kuna hakukaliki kwa wafanyakazi wake aidha kuondolewa ama kujiondoa wenyewe kufuatia ubabe uliopo pale wa katibu wake Mtendaji...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Mtihani uliko kuwa ufanyike leo asubuhi wa hesabu kidacho cha nne umefutwa nchi nzima mpaka hapo baaada...sababu zinazosemkena ni kuvuja kwa mtihani...Dar es salaam. My Take... Inawezekana...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Homa mitihani kuvuja na Mwandishi Wetu Tanzania Daima~Sauti ya Watu SAKATA la kuvuja kwa mitihani ya kidato cha nne linazidi kuchukua sura mpya tangu Baraza la Taifa la Mitihani...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Jaman Tcu mnatuweka wakati mgumu kitaa,,toeni ayo majina tujipange kuliko kuachana na presha bila matumaini
0 Reactions
2 Replies
589 Views
Aisee wana Jf msaada plz kuhusu hii bachelor ya Mechanical Engineering hapo DIT...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom