Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Katika kuhakikisha kuwa walimu wanaingia darasani kumeandaliwa utaratibu wa kuwapa tablet walimu wakuu na wakuu wa shule ili kumpiga picha kila mwalimu pindi anapoingia darasani ili kuthibitisha...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
SERIKALI YA JPM ILIVYOWEKEZA "KUUA" SEKTA YA ELIMU NCHINI. By Malisa GJ, Nianze kwa kusema nilitegemea Serikali ya JPM ingeweka mikakati ya kuboresha sekta ya elimu kutokana na serikali...
8 Reactions
17 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu, Hivi ukikosa chuo ni lazima ukose na mkopo? Au kupata mkopo kunafuatana na chuo ulichochaguliwa? Naomba msaada.
1 Reactions
38 Replies
4K Views
NIT
Mwenye majina ya nit walichaguliwa 2016/2017
0 Reactions
2 Replies
721 Views
b
Nlikuwa nauliza kuhusu bachelor of science in electrical engineering kwa dit vip imekaa poa au imekaaje msaada katika hili wakubwa
0 Reactions
0 Replies
563 Views
Kwa anayekijua hiki chuo vizuri nisaidieni kujua Mazingira na Taaluma ya DUCE kwa ujumla. ************** No lugha ya kashfa na matusi tafadhali
2 Reactions
61 Replies
8K Views
Wakuu Naomba kuuliza kati ya hv vyuo viwili vikongwe ni kipi kinatoa wahandisi wazuri wa umeme?
0 Reactions
15 Replies
3K Views
jamani naomba kuuliza majina ya waliochaguliwa kujiunga na duce kama yametoka couz nikijaribu kuingia kwa web ya chuo haifungui thanks!
0 Reactions
4 Replies
736 Views
habar wana jf .Mimi pc nimechaguliwa Udom BAED in arts naomba kufahamishwa km join instruction imeshatoka?...kwani email yangu imegoma kufunguka inaniandika username or password is incorrect...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kenya is 2 hrs ahead of Nigeria, but it does not mean that Nigeria is slow, or that Kenya is fast. Both countries are working based on their own "Time Zone." Some one is still single. Someone...
5 Reactions
7 Replies
966 Views
Je unavitambua vyuo vikuu bora duniani? Chuo kikuu cha Oxford kimeibuka kidedea katika orodha ya vyuo vikuu bora duniani ya Times Higher Education. Hi ni mara ya kwanza kwa chuo kikuu cha...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
naomba mtu yeyote anaejua kuhusu udahili wa wanafunzi wa mwaka wa masomo 2016/2017 ya sant augustine university(SAUT)na tarehe za kureport na majina yaliotoka anifahamishe
0 Reactions
6 Replies
1K Views
wadau nlikuwa not selected first round tena kwenye kozi nioizoomba lakini Leo nashangaa UDSM wametoa majina ya waliodahiliwa na LA kwangu lipo afu huku nishafanya reapplication sasaa hawa...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
anaejua ajibu
0 Reactions
2 Replies
848 Views
Binafsi mie nilikuwa mzuri wa Biology, nilifaulu sana na kulead in class ila cha kushangaza, baada ya form six nikaenda kusoma uchumi in which sikufanya vizuri kabisa darasani. Nilipomaliza chuo...
2 Reactions
85 Replies
6K Views
Kama umechaguliwa Sua karibu na uulize hapa. Nitakusaidia kwa ushauri maana hata mimi nilikuwa Mdau wa chuo hicho nilisoma hapo BSc Forestry. kwa hiyo chuo hicho ninawafahamu vizuri. Chuo ni...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa walioomba kujiunga na vyuo vya afya na mkachaguliwa kujiunga na vyuo vya serikali, joining instructions zimetumwa kwenye emails zenu kaangalieni. NB hii ni kwa walioomba kupitia NACTE
0 Reactions
1 Replies
1K Views
TCU ebu toeni hizo selection.
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Wakuu nimekuwa nafuatilia kuhusu TCU na NACTE kila nukta. Inaonekana sie wa Diploma tunakamuliwa vifurushi tuu. Anyway nimeamua nisifuatilie tena maana uhakika ninao. Kabla ya udahili kufungwa...
1 Reactions
65 Replies
7K Views
Tusaidiane wana JF, Ukikosa chuo kuchaguliwa first na second round, unafanyaje sasa?
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Back
Top Bottom