Ofisini kwetu kumefanyika mchakato wa scheme of services so watu wamepanda madaraja na mishahara kutokana na sifa zao...but Msala umewakumba wale wenye baadhi ya vyeti vya CHEMWALI...
Habarin za uzma wana jf, nina mdogo wangu wamemchagua kozi ya ICT ,ila hajapenda kuisoma anataka akasome medicine upande wa afya. anaweza je? Kubadili faculty ya sayansi na technology kwenda...
habari zenu wakuu.. Naomba msaada wa shule ipi ya private ya wasichana yenye academic perfomance nzuri na ada uwezo wangu kwa mwaka ni milion 2 nataka nimpeleke binti yangu kidato cha kwanza mwakani
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), imesema haiwezi kutoa mikopo kwa waombaji wapya walioomba baada ya Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) kushusha viwango vya udahili.
Wiki iliyopita, TCU...
za wakati huu wadau,nimemaliza bachelor degree na ningependa kuendelea na masomo ya masters marekani naomba kama kuna mtu ana fahamu minimum GPA inayo hitajika kwa sisi wabongo ili kusoma masters...
Naomba mwenye ufahamu na hiki chuo, mazingira, gharama za maisha,hostel na hadhi ya elimu inayotolewa kwa sasa anijuze...pia kama ukiwa na picha ya mazingira yake mnaweza kuweka...
Je wewe chuo chako cha ngapi kitaifa na kimataifa?
Ifuatayo ni orodha hiyo na nafasi za vyuo kimataifa:
1. University of Dar Es Salaam (World rank: 2035)
2. Sokoine University of Agriculture...
Karibuni sana College of Informatics and Virtual Education (CIVE)!
Class rooms
Administration Building known as MV MVUNGI(Former PRINCIPAL)
Computer Laboratory
Hostel
hahaaaaa..siamini vijana wamekaa kitaa mwaka na nusu bila ajira pamoja na kusomea ualimu..je watakapoajiri wataajiri wapi hao..je waliomaliza mwaka jana au mwaka huuu...
Mh...naona ninomaaaa
Vp hali zenu wana jukwaa . Nimemaliza diploma katika fani ya manunuzi , ila kwa upande wa degree nimeona niombe uhasibu . Kwani naona ni vyema kua na vyeti viwili vya fani tofauti ,kwani hapo...
Ndugu zangu Kuna ndugu yangu kapata 2 aliomba First priority health system n management Mzumbe.
Second akaomba UDOM Law.
Third akaomba mzumbe Law
Fourth akaomba UDSM Law
Na tano akaomba UDSM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.