Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari ya muda huu wana JamiiForums, Nilikuwa naomba msaada kama kuna mtu yeyote anajua kituo kinacho fundisha accounting packages kwa Dar es Salaaam.
0 Reactions
1 Replies
982 Views
je chuo kipi kizur katika mkoa wa tanga kati ya tiofilo na eckernford tanga university??tafadhali naomba majib nimekwama nataka sifa za hivi chuo ili niweze kujazia udahili wangu!!shukrani
0 Reactions
2 Replies
969 Views
Hi JF members and none. I am specializing in software for a many years.Form Management,Accounting and payroll. I am looking any online or offline class where I can teach the application of...
0 Reactions
0 Replies
425 Views
Wakuu, kwanza niwasalimu. Mimi ni PCB na nimebahatika kuchaguliwa katika FIRST ROUND ya TCU nipo hapa nikisubiri confirmation kutoka vyuo tajwa hapo chini. Wakuu nakaribisha maoni; Anayeweza...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Bodi kutotoa mikopo kwa wadahili wapya baada ya TCU kushusha viwango | MPEKUZI Mbona msalaba huu ni mkubwa sana kwa wale wenye 3.0-3.4 waliyoacha kuomba mkopo kutokana na vigezo vya awali yaani...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Msaada jaman mwenye prospectus ya udom naomba aitume,kwenye website yao sijaiona.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jaman naomben mnisaidie kila nikitaka kufanya second round inaonyesha nimesha apply but profile haina chuo hata kimoja, naombeni msaada wana TCU.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
naomba kuulizia Ivi wale tulio apply dead line ya 15/09/2016 selection wanatoa lini
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wasalaam wanajukwaa. Katika orodha ya vyuo bora Africa iliyotolewa mwaka huu 2016 na mtandao wa Times Higher Education (THE), Tanzania haina chuo hata kimoja katika orodha hiyo tofauti na miaka...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Baada ya serikali kutangaza alama za kuingia chuo kikuu mwaka huu 2016/17 kwa wenye Diploma kuwa ni 3.5 GPA.Siku chache wik iliyopita wametangaza kuchucha GPA toka 3.5 hadi 3.0 huku dirizha la...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hii ni kutokana na bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu (HESBL) walishafunga mchakato wake wa uombaji mikopo hivyo, hawataongeza muda kwa ajili ya wanafunzi wapya waliochaguliwa na TCU...
0 Reactions
1 Replies
872 Views
Bodi kutotoa mikopo kwa wadahili wapya baada ya TCU kushusha viwango Bodi kutotoa mikopo kwa wadahili wapya baada ya TCU kushusha viwango | MPEKUZI
0 Reactions
2 Replies
751 Views
Nina mdogo wangu kachaguliwa Mwl Nyerere memorial campus ya zanzibar but yeye anahitaj kuhama asome campus ya Dar es salaam...ni hatua zipi za kufata kufanikisha hili?
0 Reactions
3 Replies
808 Views
Ndungu wana jf naombeni mnisaidie kuserch hii index no S1065/0049/2015 'coz nashindwa kuelewa
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu salaam.Nina upper second class GPA YA 3.5 with honors kutoka UDSM LLB JE NIKIOMBA KUWA LECTURER WA VYUO VINGINE WATANIKUBALIA AU WATAKATAA?? Kwa mwenye kujua naomba msaada.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wadau, nimejikuta nimechelewa kuapply kiasi kwamba sasa hivi ndio nahangaikia kupata Chuo cha afya cha serikali hapa mkoani. Nina ufaulu mzuri tu Chem A Bio A physics C tatizo langu ni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
nilifanya application ya degree na nikachaguliwa lakini cha ajabu course niliyomba iomba udom na waliyonipangia apo udom ni tofauti kabisa na hyo course sikuhijaza hata katika hvo vyuo vingne...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Jitokezeni Tamisemi nilini?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Tanzania viongozi wetu hasa katika sekta ya elimu wana matatizo ya kifikra.Elimu ni haki ya kila mtanzania na si kwamba ni kitu cha watu wachache wenye akili saaaana au kwamba ni vita. Hiyo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa wale wrote mliochaguliwa st Jose medicine ,uliza chochote APA mudaa wowote ,maswala ya nyumba na hostel na mazngira kwa ujumla
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom