Vp hali wanajukwaa .nahitahi kujua kama ukiwa mwaka wa pili degree kuna uwezekano wa kupata mkopo wa HELSB . au uwezekano unakua mdogo coz wanaconsentrate na first year
Haya hapa http://www.udom.ac.tz/wp-content/uploads/2016/09/SELECTED-CANDIDATES-TO-JOIN-VARIOUS-UNDERGRADUATE-DEGREE-PROGRAMMES-FOR-ACADEMIC-YEAR-2016.2017.xlsx
Naamini hapa ndo tunaweza kufikisha ujumbe uliokusudiwa kwa watu tulio wakusudia.
Kunakitu nakihisi kama siyokweli basi naomba MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBARALI athibitishe kwa...
Vyuo vya elimu ya juu ya juu kwa wanafunzi wanaoendelea vimeshaanza kufungua na wanafunzi wa mwaka wa kwanza wanategemewa kuwasili vyuoni ndani ya wiki mbili za mwezi wa kumi.
Imekuwa ni kawaida...
Jamani hao wanaosema kupangiwa vyuo tayari wao wameona wap vyuo walivyo pangiwa?? Sababu Mimi had Leo kwenye account yangu ya TCU naona hivi.
Plz sitak kashfa kama huna comment pita kulee....
Hostel for rent. Near NIT Mabibo 10 minutes walk, along the road suitable for students at IFM, CBE, MUHAS, UDSM and colleges nearby.
Single bus to all these places. Call PM owner.
Clean and...
Naamini kuna watu ambao wamechaguliwa kwenye vyuo vya Mwanza kutoka nje ya Mwanza,ingawa nimeandika chuo kimoja ila ni ruksa hata kwa MTU ambaye yuko nje ya Mwanza ila amechaguliwa kuja huku...
samahan wana jamvi nilikuwa naulizia kuhusu kuapply nje kwa kutumia diploma inakubalika hasa kwa nchi kama south africa china india na etc kwa kozi za engineering
Kijana wangu amehitimu Diploma kwenye chuo cha Mifugo Madaba, Songea na anatakiwa kuomba kujiunga na chuo kikuu lakini system haina matokeo yao! Uongozi wa chuo unasema kuwa ulishatuma matokeo yao...
Wakuu leo NACTE hakuingoliki. Je nako umeme umekatwa?
Watu twasubiri result first selection ati wanatuambia tusubiri second selection.
Wakati hui sie tunaoambiwa tusubiri second selection...
Za Asubuhi Wanajamvi!!
Kwa mlioappy vyuo vya UD, MUHAS, CUHAS na Hubert Kairuki kwenye course tajwa; kuna yeyote aliyefanikiwa kupata confirmation ya selection yake wakuu? Maana mwenzenu naona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.