Habari wana JF,
nipo katika research nataka kuanzisha kituo cha kuendeleza elimu hasa katika masomo yanayowasumbua sana wanafunzi shule za msingi na sekondari.
Naombeni michango yenu ya mawazo...
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Shule iwe nzuri kitaaluma, na ada isizidi mil1.3.
Iwe ya bweni na kutwa, iwe Temeke au pembezoni mwa Temeke, Dsm.
Kama unajua shule yoyote yenye sifa hizo...
Habari wana JF,
Nipo katika research nataka kuanzisha kituo cha kuendeleza elimu hasa katika masomo yanayowasumua sana wanafunzi shule za msingi na sekondari.
Naombeni michango yenu ya mawazo...
Ninaomba nacte mutasaidie kuhusu huu wizi wa baadhi ya vyuo vya private,kwani miongoni mwao wameandikia wanafunzi waende kuripoti na pesa ya majengo(Building contibution).Sasa mimi nauliza hawa...
Hivi second selection aliyesikia tetesi zinatoka lini? maana kuna jamaa mtaani kwetu anasema aliomba siku waliofungua mtandao (CAS) mara ya pili anadai kashapatiwa majibu kuwa amechaguliwa ni...
Wakuu naomba msaada kidogo unawezaje kuangallia selection ulizofanya kwa wale walio apply through nacte.Kwa wale form six kuna sehemu imeandikwa VIEW SELECTION je kwa diploma unabonyeza wapi kuiona.
Habari za apa wanajamvi, naomba kujuzwa mitihani ya cfa,, chartered financial analyst hapa Tz inafanyika wapi? Na utaratibu ni upi kwa mtu mwenye degree ya economics au finance,, Thanks in advance!
kama kuna vijana walio katika uwanja wa medicine !.. na wanahitaji kufanya residency US, DENMARK ! SWEDEN au kama unahitaji info yoyote about Medical Residency .. i will be more than happy to...
Uhamisho wa watumishi wa serikali uliopaswa kufanyika mwezi June mwaka huu hadi sasa ni kimya! Ni vema serikali ikaweka mambo mezani ijulikane hatima yake ni ipi kuliko kuwaacha watu njia panda...
Wote mliokutana na hili neno msipagawe...
May be TCU hawajamaliza kuingiza data za Applicants wote..!
Nani anajua..?
Pia je,TCU wameshatoa official announcement kuhusu utayari wa results za first...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.