Jamani habari za usiku raia wana jamiiforum nilkua nauliza je TCU application unaruhusiwa kujaza nafasi nne tu yani I mean uchague mara 4 na sio mara 5 au ni lazima ujaze zote mara5
Habari wana jf
Nalazimika kuandika haya ili kuwekana sawa na hawa ndugu zetu waliopewa mamlaka ya kuendesha udahili wa pamoja yaani NACTE.
Ukitazama hiyo screenshot hapo juu, kuna program namba...
*MPYA*
*UDOM INATANGAZA NAFASI KWA WANAFUNZI WENYE SIFA KATIKA KOZI ZA DIPLOMA NA CHETI 2016/2017*
*HII INAWAHUSU PIA WALE FORM SIX ZAIDI YA 18000 WALIOOMBA TCU WAKATI HAWANA SIFA 4PTS ,ZA...
Waziri mkuu wa jamhuru ya muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa (16/09/2016 11:40Am. "mheshimiwa spika kuhusu upungufu wa walimu serikali imeona iwapange walimu mashuleni moja kwa moja, nguvu...
Katika hali isiyo na usawa ni kile wanachotendewa wanafunzi wanao omba kujiunga Undergraduate katika mwaka wa masomo 2016/17 wakiwa na Diploma kama sifa za kuingilia (Equivalent). Huu uonevu...
Kuna tofaut gani kati ya degree hizo mbili za NIT pamoja na priority za ajira zao wanapograduate kwa Tanzania na nje ya Tanzania nani anakuwa bora kuliko mwenzake mwenye uelewa wa hizo mbili...
This is to inform the Public that the deadline for online application for Diploma and Certificate Programmes for Academic Year 2016/2017 has been extended to 24th September to allow those failed...
Kwa yeyote mwenye kuhtaji hostel aliyechaguliwa chuo kikuu cha tumaini makumira karibuni sana
Bei ni ya kawaida tutakupokea na kukupa hifadhi ya mwezi mmoja bure ndio uanze kulipa kodi
Maandamano yametokea maeneo mbalimbali Huko mwanza nje ya ofisi za NACTE kudai majibu yao yaliyo cheleweshwa kutoka tangu walipo apply tarehe 31Agust
Chanzo:cloudsfm
Nasikia suala la kupata viza inasumbua,naomba anaejua jinsi ambavyo naweza kupata viza bila usumbufu ,anisaidia,au jinsi ya kupata wakala au wapiga debe (please kutumia hilo neno debe).kama...
Kwa wanafunzi wote waliochaguliwa na NACTE na TCU ili kujiunga na chuo cha kimataifa cha Kampala, napenda kuwakaribisha saana chuoni hapo..
Chuo kipo Gongo la mboto mwisho, mazingira ya chuo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.