Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari za kutwa wana jamii forum natumaini muu wazima wa afya. Leo ningeimba tujuzane kozi zenye fursa ya ajira na mbazo mtu unaweza ukajiajiri.
0 Reactions
21 Replies
6K Views
My dear friends. I'm really in need of advanced mathematics notes 1&2. Please if you have it email me through amwamtobe@gmail.com. If it costs anything, please let us negotiate through that...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Baada ya tume ya vyuo vikuu Tanzania kupandisha na kushusha minimum requirement za udahili vyuo vikuu kutoka 3.5 mpka 3.0,Je! Niipi hatma ya wanafunzi waliopata G.P.A 2.7 mpaka G.P.A 2.9 ??
2 Reactions
8 Replies
5K Views
MATOKEO YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA VYUO VYA UALIMU VYA SERIKALI KWA MWAKA WA MASOMO 2016/2017 Date Posted: 14th September 2016 16:42:58 Posted By: NACTE Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi...
0 Reactions
8 Replies
9K Views
Please be informed that you have been provisionally selected to join above Programme and said Institution/College, pending to the confirmation of the Institution/College. Unajulishwa kwamba...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Habari vipi wakuu?? naona ukiingia kwenye website ya nacte kwenye results wameandika we are finalizing second selection, je kuna ambao wameshapata hyo first selection ya nacte???
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Tafadhali naomba ufafanuzi katika hili, Je Mtu mwenye Ordinary Diploma ( primary Teacher Education) GPA 3.0 Ya mwaka 2015 from Open University of Tanzania anakua na sifa ya kuendelea na Degree...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau naomba mwenye joining instruction ya Shirati School of Nursing anisaidie au tuwasiliane kupitia namba 0763814980 maana naangalia kwenye website yao hakna kitu.
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Wakuu naona diploma holders selection tayari hebu chungulien profile zenu...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Kwamfano leo hii umepata chance ya kusomeshwa na mzamin aliyejitolea kukusomesha na akakuambia uchague kati ya uhasibu au uchumi,je ungekuwa wewe ungechagua course gani?? Na sababu ya kuchagua iyo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kundi la wanafunzi kutoka chuo cha SUA wamekutana na mkurugenzi wa halmashauri ya Malinyi, vijana hao wamejitolea kutoa huduma za ugani na utalaam wa kilimo kwa Wakulima ndani ya wilaya ya...
0 Reactions
2 Replies
952 Views
Wakuu habari zenu? kuna ndugu yangu kachaguliwa chuo tajwa hapo juu kusoma certificate ya mambo ya pharmacy. lakini katika status ya profile yake inasema pending, kwamba wanasubiri confirmation...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari wana jamvi. kuna habari moja ya kusikitisha inayowahusu wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na shahada ya kwanza Msumbiji wametoswa bila kupewa sababu ya kutoswa huko.Hyo ni baada ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ilikuwa 22-06-2016 ilitoka kauli hii, ''NASITISHA AJIRA KWA MWEZI MMOJA AU MMOJA NA NUSU, HAITAZIDI MIEZI MIWILI'' sasa miezi mitatu itatimia kesho kutwa. Msema kweli mpenzi wa Mungu...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Nashindwa kuwaelewa tcu jamani. Nimeingia sasa hivi kwenye profile yangu, cha kushangaza nimekuta faculty nilizotemwa bado zinahitaji watu. Sasa kwa nn nilitemwa
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Habarini wakuu!!! Hv India wana System km ya TCU - CAS ktk udahili/kuomba vyuo vikuu kwa pamoja??? ...namaanisha wanaomba kwa kutumia CENTRAL ADMISSION SYSTEM ktm huku Tz? je ni ipi Website yao...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Samahani wakuu kwa anayekijua vizuri chuo cha NIT mazingira ya chuo yapo vipi kwa kusoma, na changamoto atakazo kumbana nazo huyu dogo ni kama zipi? Maana ameapply hapo anataka kusoma transport...
3 Reactions
33 Replies
11K Views
Wakuu habari zenu, jaman Mimi nimemaliza kidato cha 4(form4) mwaka jana2015 hivyo nikaamua Ku apply UDOM kozi ya (Medical laboratory Technology) in Diploma;mwezi wa 8 tare 10 mwaka huu (2016)na...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Tuchangamshe ubongo tupumzike kidogo na TCU na NACTE ============ Si mdudu wala si mnyama ila anaishi kwenye magome ? Changamkia kitendawili hiko.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom