Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wanajamvi naombeni mnisaidie vyuo vinavyotoa hiyo kozi kuanzia ngazi ya cheti,hapa Tanzania.Asante
0 Reactions
22 Replies
10K Views
Kuna mdogo wangu anajaribu ku-apply kozi level ya degree kupitia NACTE, yeye ni diploma holder. Tatizo anafika mahali imeandikwa CHUO ULICHOSONEA, tukiangalia kwenye list ya vyuo vilivyoorodheshwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nitajie Jina la muandishi, jina la kitabu........ au ...unafikiri kime-kusaidiaje? Una weza kikanivutia na mimi nika kitafuta kukisoma!! hii ni seehemu ya kufaamiana...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Habari wakuu mwenyewe uzoef na chuo cha monduli community development institute naomba aniwekee namba yake tuwasilianne asanteni
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Elfu 71 na ushehe kumwagwa!
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba kufahamu utaratibu ukoje ili mwanafunzi aweze kufanya registration kuingia mwaka wa pili. Je ni lazima mwanafunzi alipe administrative costs ili akubaliwe kufanya registration kwa mwaka wa...
0 Reactions
2 Replies
764 Views
Naomba niongee toka moyoni wandugu. Jambo hili limeniuma kwa muda mrefu sana. Kwenye hizi shule za watoto wetu, hakuna ubishi kwamba waalimu wazuri ni wakenya au hata waganda, lakini wamewekewa...
5 Reactions
57 Replies
6K Views
Ushauri kati ya mechanical na telecommunication ipi kozi ambayo inalipa zaid ktk soko la ajira ,na je ipi ambayo upatikanaji wa ajira yke haisumbui ,ahsanten .
0 Reactions
14 Replies
4K Views
nimejiuliza kitu fulani: 1. TCU wameamua kuweka grade ya aina ya masomo wanayoyaita priority na mengine wanayosema sio priority. yale ambayo ni priority kwa kawaida wanatoa full load, yale ambayo...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Jamani wana JF. nauliza kwamba Kama umechaguliwa mwaka huu kusoma diploma au certificate na hau kwenda chuoni JE una weza kuapply tens mwakani au jdo umeshapitwa na. Nafasi
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Lets expand our knowledge on the issue of ranking
0 Reactions
0 Replies
512 Views
BACHELOR OF ARTS WITH EDUCATION BACHELOR OF EDUCATION
0 Reactions
4 Replies
2K Views
diplo in clinical medicine or medical lab technology???
0 Reactions
7 Replies
2K Views
NAULIZIA WADAU OPEN UNIVERSITY WAMETOA MAJINA YA WALE WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA DEGREE MWAKA HUU?
1 Reactions
4 Replies
3K Views
I write about entrepreneurs, small business owners & what drives them We keep hearing that the way to get ahead is with an engineering or computer science degree. Studying business can also be a...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
habari wadau was JF mm nilikosa first round TCU .nmerudia round ya pili nimeomba kujiunga na MUM direct na Nina amin ntachaguliwa . kwa anayekijua chuo hki vzur anielezee. mm binafsi nakipenda sana.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
hii tume ya vyuo vikuu tcu, wanaruhusu mhitimu wa kidato cha sita mwaka jana kuomba kudahiliwa kwa minimum qualification entry ya C mbili tu, ambazo C ya mwaka jana ilianzia 40-49. na sasa tcu...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Nit kimenuka .....wanafunzi wanaandamana kudai hela zao za quarter 3 na 4, pia ubovu wa ratiba ya mwaka wa masomo ya chuoni. NIT ni jipu .....waziri wa Elimu naomba utembelee hapa chuoni.
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Nasikitika sana kuona serikali inawajibisha vyuo vya binafsi peke yake wakati vyuo vya serikali ndio vimejaa mapungufu, huku ni kuua elimu yetu nchini. Mfano mwaka huu TCU imesema kwamba wale...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom