Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kama tunavoelewa ya kua tarehe 15/9/2016 TCU ilitangaza kushusha viwango vya kuingia chuo kikuu kwa wanafunzi waliomaliza diploma kutoka 3.5 mpaka 3.0 ,na kupewa fursa ya kuomba vyuo ambapo mwisho...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Ipi Kati ya selection za chuo na matokeo ya Necta inaleta pressure?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ivi endapo nitachaguliwa education, je naweza kubadili kwenda kozi nyingine??? Wasomi wezangu naomba jibu
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Katika kukua kwetu wengi tuliamin UD ni bonge la chuo na kinatoa watu vichwa balaaa Ila kama ndo kina Maprofesa kama yule anayehojiwa mara kwa mara na vituo vya luninga sijui anaitwa Bansen...
2 Reactions
44 Replies
4K Views
Tujikumbushe kidogo...Ni Scientific name gani zilikua zinakuvutia pindi zinapotajwa?au zipi zilikua zinakupa ugumu kutamka/kukariri?? Zangu...Mangifera indica(MANGO) Cannabis...
1 Reactions
102 Replies
6K Views
Habar za wakati huu wana J.F naomba kuuliza,kuna shida gani inaweza kujitokeza kutokana na kubadilisha machaguo ya vyuo (selection) Maana baadhi ya watu wanadai inaweza kupelekea kutochaguliwa na...
0 Reactions
4 Replies
952 Views
Habar zenu jaman..nacte wanataka nini wanaponiambia ni re upload cheti changu na transcript?? Na nimefanya hvyo zaid ya malamoja lkn natumiwa email nikiambiwa ni upload...shida ipo wapi? msaada pls
0 Reactions
12 Replies
2K Views
kwenye profile yangu kwenye chaguo la kwanza kuna capacity negative two(-2) sijui ndo nn sasa mwenye kuelewa anisaidie ili nifanye maamuzi haraka.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Naomba kuuliza wakuu kama kuna mtu anaufauru wa CE matokeo ya 2016 kapata chuo
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Tangu jana nina mdogo wangu tunajaribu kujisajili kwa ajili ya kuomba chuo mfumo unagoma .Mwenye ufahamu kama kuna mabadiliko ya system ya TCU anifahamishe tafadhali
0 Reactions
7 Replies
972 Views
Hivi wafanyakazi wa Nacte wanafanya kazi kwa utaratibu waliojiwekea au kuna chombo kingine juu yao? Watoto / wanafunzi wanafanya application, hawapati majibu na hakuna pa kuuliza ni kwa nini...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kwa mfano mtu kapata supplimentary semester ya pili ya mwaka wa kwanza wa diploma na hakuweza kuifanya kwa muda uliopangwa kutokana na matatizo ya kiafya na kupangiwa muda wa kufanya sup kwa mwezi...
0 Reactions
4 Replies
718 Views
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imeongeza muda wa udahili wa wanafunzi wanaotarajia kujiunga na vyuo vikuu mwaka wa masomo 2016/2017 ili kuwapa fursa waombaji ambao wana sifa lakini hawakupata...
2 Reactions
37 Replies
5K Views
Naomba kuuliza kwa anaefahamu, ni lini? Joining instructions za vyuo vya afya vya selikali zitatoka maana kupo kimya
0 Reactions
1 Replies
673 Views
Jamani kumekuwepo na thread nyingi ambazo zinashindanisha DIT na UDSM,Kwani vyote si vyuo au
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Jamani First round nmekosa nmefanya second round vyuo hivo apo nilipata division 2 ya 10 nilisoma HGL JE naweza chaguliwa au kwa anayefahamu ivo vyuo anijuze je viko vip na ubora wake...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Salama wandugu, Wandugu nilikua naogopa kuapply chuo baada ya kumaliza degree ya kwanaza mwaka 2011 na kuona kama haina msaada saana katika kujichanganya kwangu uswazi. je naweza kupata chuo...
0 Reactions
9 Replies
912 Views
Wakuu. tatizo liko wapi hapa mpaka kupelekea kubadili hii gpa kwenda 3.5 baadae kushuka 3.0. ni nini tunataka kuboresha ktk elimu yetu hapa nchini!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Vifuatavyo ni vyuo vikuu ambavyo vina nafasi kwa wale waliokosa awamu ya kwanza HIVI HAPA VYUO VIKUU VYENYE NAFASI KWA FORM 6 WALIOKOSA KUCHAGULIWA AWAMU YA KWANZA 2016/2017 | KINGAZITEE BLOG
1 Reactions
13 Replies
6K Views
Back
Top Bottom