Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Hatimae tena TCU wamebadilisha alama za kujiunga. Diploma kujiunga bachelor ilikuwa 3.5 sasa imekuwa from 3.5 mpaka 3.0 wanamchukua. FTC kujiunga degree ilikuwa B. Sasa waweza kujiunga ukiwa na...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Iko vipi hii course wadau hapo Ardhi?
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Naomba kufaham kuhusiana ni course inayotambulika kama COMMUNITY HEALTH "" 1- inahusiana na mambo gan hasa? 2- hii course unawez kusomea mpka ktk ngaz gan? 3- je ina mashko sana baada ya...
0 Reactions
16 Replies
7K Views
Habarini nyote.....! Uzi huu ni mahususi kwa wale wote wenye mawazo ya kughairi mwaka kutokana na kutemwa Nianze kwa kuwapa pole wote mliokosa first batch au first round msikate tamaa kwa kuwa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wenye Diploma wanaotaka kujiunga na Elimu ya Chuo kikuu wamepunguziwa GPA kutoka 3.5 mpaka 3.0 kama kigezo pale TCU Na mwisho wa maombi ni September 23 na ni kwa waombaji wapya tu,kama ulishaomba...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Natanguliza salamu wakuu! NIFANYE NN nimesahau passoward yangu ya kufungulia A/C ya TCU nataka kuangalia nimechaguliwa chuo gani! Kwa wanaojua Tusaidiane.
0 Reactions
9 Replies
5K Views
"CPA(T) tutors" ni wakufunzi kwenye madarasa ya kuwaandaa watainiwa kuweza kufanya mitihani inayotolewa na bodi ya taifa ya wahasibu na wakaguzi wa fedha Tanzania (NBAA) yenye lengo la kuwapa...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Watu ninaowauliza wananichanganya. Kila mtu anasema lake. Basi kwa mwenye uhakika anijuze, kuhusu A,B,C inaanzia ngapi hadi ngapi ili nijikadilie. Mimi ni PC wa CSEE 2016.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
kama wamepunguza GPA from 3.5 to 3.0 kwa diploma holder, pia ni bora wangepunguza izo D to E kwa form six ili watende haki sawa kwa wote, na hata wakipunguza is already to late, ila kuna watu bado...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
NACTE Tunaomba baada ya selection ya tarehe 15/9/2016 mfungulie tena CAS ili kutoa fursa kubadili machaguo kama tutakuwa tumekosa machaguo tuliyofanya awali. Bado baadhi ya vyuo via nafasi...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Naomba kwa wale waliochaguliwa kujiunga na chuo kikuu cha daresalam (udsm)main campas tutafutane kwa namba 0768048846 mimi niko pale mwaka wa tatu course bsc with education ...pls nahitaji sana...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari za majukumu wakuu? Napenda kuuliza vipi matokeo ya wenye diploma kwenda degree yatatoka lini?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Dah! TCU wangejaribu kuwacheki na form6 watu kibao wamegota ni form six ,inauma sana
3 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Poll Poll
Kuongezwa kwa mdaa wa kuapply kwetu sisi watu wa depromal weny GPA za 3.0 inamaana na board ya mkopo pia watafungua dirisha la uwombaji mkopo??
0 Reactions
3 Replies
946 Views
Kuna mwenye kufahamu hilo kama linawezekana? Waliomaliza Eng dipl au PCM kwenda BA Journalism au LL.B..
0 Reactions
5 Replies
898 Views
Habari wana jamii Je kuna uwezekano wa kuhama chuo na kozi husika kwa mfano mtu umechaguliwa ualimu una qualification za kusoma nursing je inawezekana kuhama kama chuo unachotaka kuhamia ni cha...
0 Reactions
16 Replies
38K Views
Habari wadau wa Jf Kama ulifanya second round application ya TCU siku za nyuma ulikuwa ukijaza course 4 ilikuwa huwez tena kuongeza ya 5 lakini cha ajabu jana nilipoclick "make second round...
0 Reactions
3 Replies
849 Views
Jaman mimi ni diploma holder nime-aply kwenda degree ,,NACTE walishafanya tathmini ya vyeti vyangu na kuniambia "requred qulification found" Lakin cha kushangaza leo nakuta wananiambia "update...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
habar wadau wa jf mm nauliza kuhusu majib ya round ya pili TCU maana kuna wanaosema yanatoka hapo hapo au haipit wik moja je ni kwel
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom