Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wakuu hodi humu ndani Nina omba ushauri kwa yeyote ambaye anataarifa au uzoefu nilimaliza undergraduate mwaka 2013, GPA ni Upper second ya 3.5 kwa mchepuo wa Elimu ikishabihiana na Psychology...
0 Reactions
44 Replies
10K Views
Wakuu nimemuombea mtu second selection na nimemaliza.Lakini nikijaribu Ku log in huu ujumbe hapa chini bado unarudi nashindwa kuelewa sababu nini?.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
TCU LOGIN- after login , I get only this message :-"you are provisionally selected...................no university or institution. should Igo for second round?how ln
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Jamani kwa Mwenye soft copy ya notes za *•Physics* •Chemistry •Biology •Geography •Maths Zote zianzie form one masaada plz..
0 Reactions
0 Replies
359 Views
wana jf mambo vipi wadau polen na majukumu ivi kati ya food science na mining eng ipi inatoa na hipi ni ngumu katika usomaji hasa kwa chuo kama DIT,kwenda degree coz ipi wanafaulu sana kati ya...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
O-Level Exam Results Subject_code subject_name Grade exam_year 011 CIVICS C 2013 012 HISTORY D 2013 013 GEOGRAPHY C 2013 014 BIBLE KNOWLEDGE C 2013 021 KISWAHILI B+ 2013...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Pesa imebaki ya serikali Beno
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Never give up[emoji108] Business without a business plans is like a ship without a radar Follow us letcare food
0 Reactions
1 Replies
460 Views
Naishauri serikali kuwapa wanafunzi wa 5 & 6 Special favor Shule zenye Combi za PCB wapewe vifaa bora vya maabara na chemically za kutosha Waalimu wa PCB Form 5 & 6 wapewe motisha hali ya juu...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
TCU/ CAS login,nikilogin nakutana na message,"provisionally you are selected.....................zaidi ya wiki msaada jameni
0 Reactions
1 Replies
764 Views
Yani niliomba second round ..sasa nimerudi kucheki kweny profile nikitaka add program mana nimejaza course nne tu nilipotaka ni add ya tano nambiwa ivo..kwenye profile yang!! kwaiyo inamanisha...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
TCU watoa hili tangazo kwenye web yao...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wale waliochaguliw kujiunga katka chuo cha RAO HEALTH TRAINING CENTRE tukutane hapa Kwa ajil ya kujuzana mambo mbalimbali kuhusiana na hicho chuo.. ...Asanten
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Kwa waliochaguliwa Kampala International University (KIU) awamu ya kwanza majina haya hapa
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Hivi kwa wanaosoma diploma in primary education hiyo itawawezesha kuchukua degree kama wakipata gpa zinazotakiwa
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau huyu ndugu yangu kajaza hiviiii second round anaweza Pata au Kuna kitu abadilishe ili asikosea second round ushauri wenu tafadhali
2 Reactions
61 Replies
6K Views
Naomba niulize wakuu, hivi hiki chuo cha Kampala international university kipo vipi? Kwani tunasikia mengi mpaka tunakiogopa. Kama kuna mtu ana habari nacho please msaada kipo vipi kwani nina...
1 Reactions
108 Replies
16K Views
jamani hivi ada za vyuo inaruhusiwa kulipa kwa semister yaani nusunusu au ni lazima kulipa ada ya mwaka mzima
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom