Serikali Yakataa Kuongeza fedha za kujikimu kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Wanaopatiwa mikopo Serikali Yakataa Kuongeza fedha za kujikimu kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Wanaopatiwa mikopo |...
wanajamii nina two ya -10 HKL nimekosa machaguo ya kwanza nimeomba
1..udsm bachelor o arts in tourism' remain capct 88
2..mwalimu nyerere bachelor in history and english,remain capct 127
3..udom...
Kumekuwa na tatizo kubwa sana la jinsi ya kuhifadhi vyeti vya taaluma, kuzaliwa na nyaraka nyingine muhimu mfano hati ya nyumba n.k.
So kwa wale mnaojua tunaomba elimu ya kina kuhusiana na hili...
Serikali kuwapangia shule walimu wa sayansi
Serikali imeanza kupanga walimu wa sayansi moja kwa moja katika shule badala ya Halmashauri kama ilivyokuwa awali ili kuleta uwiano sawa wa walimu...
Mwenye uelewa atusaidie.
TCU wameshusha GPA kutoka 3.5 to 3.0 kwa mwenye diploma anayetaka kuingia University kusoma degree. Ni waz kuwa waliokuwa chini ya GPA ya 3.5 kama ilivyotangazwa awali...
Nina mdogo wangu alimaliza form four mwaka 2015 alipata division four ya 28 kwa masomo haya HISTORY,C ,ENGLISH,D,BIOLOGY,D,KISWAHILI,D,GEOGRAPHY,D,CIVICS,D, B.MATHEMATICS,F, ameapply third around...
Habar. Wakuuu.
Kuna kijana wangu alikua amechagulia Diploma ya Nursing.. lakin alikua anataka kusoma Clinical officer. Vip anaweza kufanya transfer kama vile watu wa bachelor wanavyofanyaga...
Wasalaamu wanajukwaa!
Hivi karibuni Tanzania Commission for Universities - TCU ilibadilisha kwa kupanga upya viwango, vigezo na sifa vya udahili wa wanafunzi kujiunga na vyuo vikuu kwa upande wa...
Hahahahahaaaa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Bodi ya vyuo vikuu nchini Tanzania kupitia tangazo lake imepunguza vigezo vya kujiunga na vyuo vikuu kwa mwaka wa masomo 2016/2017...
Habari zenu wanajf
Nauliza kitu kimoja hivi mtu akisoma ualimu wa masomo ya science katik vyuo private atakuwa treated sawa na mtu anaesoma course hyo katika chuo cha serikali.
Namaanisha in terms...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.