Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
kwa yeyte anaekifaham hicho chuo naomba anipe maelekezo location na mazingira kwa ujummla na pia kama kuna mtu anamajina ya wanafunzi waliochaguliwa hapo naomba attachment hapa yyt iwe pdf,docs...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
jaman nisadieni nimesoma huu ujumbe sielew elew
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ndugu zangu Msaaada kidogo nina rafiki yangu naye kapigwa Chini first round. Na ivyo apo juu ndo alivyojaza saivi mnaonaje wadau yupo kweny risk ya kukosa tena Kama kakosea sehemu tuelekezane...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Hivi kweli chuo cha UDOM wanashindwa kuweka Prospectus kwenye web kweli? .... wameniboa sana
2 Reactions
30 Replies
4K Views
  • Poll Poll
wakubwa Shikamoo wadogo habari za jioni nimeapplay diploma in pharmaceutical na nyingine ya laboratory HAPO KIU matokeo yangu ni MATH.C PHYS.C CHEM.B BIOS.B+ je nitapata kweli na vp Kuhusu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
kuna dogo anasema aliapply kwa kufuata hatua zote kama zilivyoainishwa kwenye Guide book. Cha ajabu majibu yanatoka yanasema hajaaply first round wala kuchaguliwa provisionally. Na alidownload ile...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
wadau nauliza wale walochaguliwa kujiunga na diploma kupitia nacte ada yao inakua sawa na wale wa privt au wanapata ufadhili wa serikal???
0 Reactions
6 Replies
992 Views
Hivi ikoje umesoma kwa kingereza Leo hii ukamfundishe mwanafunzi wa shule ya msingi kwa kiswahili.... Je nikuikuza elimu ya Tanzania au kuididimiza,
0 Reactions
6 Replies
954 Views
kwa kuanza ni vyema tukaanza kujua Prof Shaban mlacha ni nani? Shabani Mlacha ni makamu mkuu wa chuo kikuu dodoma upande wa mipango, fedha na utawala, yeye ni msomi wa taaluma ya kiswahili ambaye...
2 Reactions
166 Replies
17K Views
habar humu, wadau mwaka huu ile diploma ya ualim wa kufundisha secondary ipo au ndo ishatolewa maana mwaka huu mambo yamebadlik sana
0 Reactions
17 Replies
8K Views
Wakuu nacte wameshatoa post kwa wale wa second round hebu chek profile zenu me nimetumiwa sms from nacte nimeambiwa nicomfirm nimechaguliwa C.O pale KS ROYAL MBEYA
0 Reactions
35 Replies
5K Views
0 Reactions
6 Replies
1K Views
WanaJamiiForums kwa wale waliokosa vyuo sasa inakuaje maaana vimebaki vyuo vya private vingi na vyuo vipi ni vizuri ku apply Kuna ndugu yangu aliomba law udom udsm na mzumbe kakosa sasa vyuo gani...
4 Reactions
39 Replies
6K Views
Comfimation NACTE mpaka sasa kwangu bado, Vipi kwenu wenzang?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
0 Reactions
4 Replies
2K Views
TCU wamesema watafungua tar 12 ad tar 23 lakini hadi Leo diploma hawajaona matokeo yao...second round imeanza.. TCU inamaana hawawaoni diploma kwanza no equality MUHAS diploma nafas 4 Kat ya...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Wale waliochGuliwa kujiunga na degree ya business cbe dom tukutane hapa tujuane
0 Reactions
2 Replies
4K Views
RASIFA TANZANIA BLOG inapenda kutoa ushauri kwa applicants ambao wamekosa round ya kwanza katika selection za vyuo vikuu kwa mwaka 2016/2017.Jambo kubwa ambalo limefanya walio wengi kukosa...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Naombeni ushauri wa vyuo hivi nilivyo chagua second round kama nimekosea kuchagua inaeza ikanisababisha nikose naombeni mnisaidie
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Jaman kwa anayefahamu kilipo chuo hichi hapa DSM naomba anielekeze sababu nina shida ya kutaka kufka hapo nkachukue admission letter plz plz naombeni msaada kwa hlo...
0 Reactions
7 Replies
8K Views
Back
Top Bottom