Habari wana javi naomba msaada kuhusiana na koz tatwa hapo juu tuliomba diploma lakini tunakuja kukuta certificate hatujui sasa msaada jaman ni sawa au hii isije kuwa ni ile ya english mediums...
Serikali kupitia Wizara Ya elimu ilibadili viwango vya kujiunga na elimu ya juu kwa Advanced level kutoka minimum point 2 hadi 4, na kwa diploma kutoka GPA ya 2.7 hadi 3.5 ,na sasa imebadili tena...
habari wakuu. Naomba maelezo kuhusu course ya bachelor of science in management information system. inahusiana na kitu gani na kazi zake ni kama zipi... na je soko la ajira kwa course hii...
Habari wakuu!
Naomba kuuliza hivi kuna watu wameandikiwa vyuo walivyochaguliwa kwa Degree maana mostly naona tumeandikiwa selected but Chuo hakijaainiahwa wakati huo huo inasemekana kuna watu...
TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), imetoa ufafanuzi juu ya taarifa za kutoka kwa matokeo ya waombaji wa nafasi za kujiunga na vyuo vikuu hapa nchini, kwa mwaka wa masomo 2016/2017
Kwa siku tatu...
Kuna tangazo nimeliona kuwa min.entry kwa watu wa diploma kwenda degree zimeshushwa kutoka GPA ya 3.5 mpaka 3.0.
Je kuna ukweli wowote juu ya hili,kwa yeyote mwenye taarifa rasmi atuthibitishie humu.
naomba kuuliza fine arts ina maana gani kozi nataka niadd kozi ya utalii ila yenyew inataka hiatory,engliah,ftench and kisw/fine art nipe maana yake ndugu zangu haraka
Huu utaratibu wa kuchagua watu na kuwapa taarifa kuwa wamechaguliwa katika mojawapo ya kozi walizoomba, lakini uthibitisho utatoka kwenye chuo husika HAUFAI!
Halafu huyu mtu ikitokea chuo...
Sintofahamu nyingi zinajitokeza na bado zinaendelea kutokea kutokana na hii taasisi inayosimamia elimu ya juu kukosa umakini na kuwajibika ipasavyo kwa makusudi au kwa sababu nyingine wanazozijua...
Miaka ya nyuma kabla ya mwaka 2016 ,kozi zote za ualimu zilipewa kipaumbele. Lakini kwa mwaka huu wa masomo 2016/2017 Serikali imefuta kipaumbele cha mikopo kwa masomo ya ualimu wa sanaa. Hii ni...
Hbr wakuu yeyote mwenye taarifa juu ya hii pesa ya mafunzo kwa vitendo(Field practical allowance)...ambayo serikali ilisema itatoa kwa awamu mbili lakini awamu ya pili ya pesa hizo haina hata...
Namshukuru mwanangu kuchaguliwa kozi ya kilimo baada ya mahangaiko mengi. Ila jambo moja limenisikitisha mtoto anatakiwa kuripoti 24/09/16 na Ada ya Tshs 1000000 awamu ya kwanza Taarifa ya...
Hii ni baada ya kulipa pesa ya kusajilia mdogo wangu, pesa imekwenda NACTE ila siwezi fanya chochote toka jana.
NACTE liangalieni hili pia, kwani wengi watakoswa nafasi ya kufanya usajili kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.