Nasikitika sana, tena sana kauli ya naibu wazir wkt akijib swali bungeni
Si sahihi kutangaza kitu kama hicho, wanaotaka kufanya hivyo wawe huru kuamua
Binafsi siwez kufundisha primary. Nasikia...
Jamani naombeni msaada kujua kama ni kweli kuwa kwa walioziona course ambazo wamepangiwa siku chache zilozopita kabla ya kufungwa kwa ile link iliyokua inaonyesha course aliyochaguliwa mtu je kuna...
wakati najia andaa kutupia hoja jiulize yafuatayo...
Ina kua aje? wanafunzi waliopata alama za chini za ufaulu ndio wachaguliwe kwenda kusoma uwalimu..??.
wanafunzi walio maliza kidato cha nne...
Wakuu kama yupo anaejua vigezo walivyotumia TCU kufanya sellection atuambie maana sellection hazina usawa kuna watu wameperform vzur na wameachwa ila kuna wengne wamechukuliwa kwa perfomance hiyo...
Huu utaratibu wa kuchagua watu na kuwapa taarifa kuwa wamechaguliwa katika mojawapo ya kozi walizoomba, lakini uthibitisho utatoka kwenye chuo husika HAUFAI!
Halafu huyu MTU ikitokea chuo...
Habari wakuu!
mimi nilipata division 3 ya 13 na niliomba vyuo vifuatavyo
1. SAUT
2.UDOM
3.DUCE
4.MUCE
5.TUMAINI
Coarse nilichagua ya education
nimelogin nkakuta wameniandikia hivi YOU HAVE...
Habari wanajf,
Ni hivi karibuni NACTE wametoa selection kwa wale walioomba awamu ya pili diploma studies. Lakini katika taarifa zinazoonekana kwenye profile za baadhi ya watu, kuna mkanganyiko...
Wakuu,
Nimeona malalamiko kibao kuhusu watu ambao hawajawahi kukopa kupewa notisi za kudaiwa na Bodi ya Mikopo. Nadhani hawa jamaa inabidi wajirekebishe. Kabla ya kutoa notisi za kudai kupitia...
Habari zenu wadau!?
Katika tangazo lililotolewa na TCU juu ya hatua za kufanya second round application wameonesha unaweza kujaza hadi vyuo vitano kwa wale waliokosa first round application lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.