habari wadau wa jamii forum!!leo nimeingia asubuhi tcu nikaambiwa nichague round ya pili nikachagua tatu kozi lakin mida nimetoka internet cafe wanzingua inakataa kabisa lakin kuna baadhi...
Nimepitia kwenye Web ya TCU hasa kwenye kuomba udahili upande wa diploma ambako watu wa nacte wanahusika. Huko nimeona chuo hicho kimeorodheshwa. Vipi kinarudi tena? Kama Nacte wamekiweka chuo...
Haina haja ya kukaa na pressure tumtangulize mungu atusimamie katika selection zitakazotolewa soon hakika sisi ni watoto wake hivo tumuangukie yeye ili basi kweny kila la ubaya liwe la uzuri in...
Jamani naomba kifahamishwa kuhusu tuliokosa awamu ya kwanza tukiomba second round majibu huwa yanatoka mda gani,!!!!??? Na je tutaripoti chuo na waliopata first round,?????
Wadau mimi nina swali.......,, hivi aliye reseat kidato cha sita na akafaulu vizuri kuingia University huwa Ana chaguliwa kwa course mojawapo Alizoomba kulingana na cut off points zake au...
Je, una wazo ambalo linaweza kuboresha muundo wa elimu na inavyotolewa hivyo kuleta athari chanya kwa jamii yako na nchi yako kwa ujumla? Toa mchango wako.
Habarin wana Jf,
Nimesikia eti mtu huwezi kutransfer chuo kwenda kingne kwa faculty tofauti.
Mfano; Kutoka musoma utalii college koz ICT kwenda chato health science and technology.
Na kwamba...
Wakuu vip kama wameruhusu kuanzia tar 12 watu waapply tena vip mbona selection bado?? au kama kuna wa diploma aliyekwisha ona amechaguliwa tujulishane wadau, kwenye profile naona wameniandikia...
Mwenye TAARIFA zozote za TCU mpaka sasa tu naomba atujuze ...! maana naona hawa wakuu wamepiga kimya na siku waliyoahidi ndo hii inaenda kuisha
Mwenye lolote Tafadhali
[emoji288] [emoji289]...
Kwa wale tuliochaguliwa kozi za Medical lab/C.medicine ngazi ya certificate Pita hapa tujuzane mambo mbalimbali kabla ya kuanza masomo, wadau wa kawaida mnaruhusiwa kuchangia.
Tuliapply mwezi wa tano through nacte tukaambiwa selection mwezi wa saba ikawa hola
Wakatubadilishia gia angani kutoka Gpa ya 2.7 tuliyoambiwa mwezi wa tano hadi 3.5 ambayo ni ngumu sana kuipata...
Hongereni kwa wale mliobahatika kuwa selected na poleni ambao hamjawa selected.
Kwa wale ambao mpo selected mshukuru kwa hiyo nafasi mliyopata na uwe tayari kwa faculty yoyote utakayoteuliwa kwani...
Mimi nilimaliza diploma ya public sector accounting tia nikapata gpa ya 3.4.
Mpaka sasa sijui nifanye nini wakuu naona kama ndio mwisho wa shule.
Naombeni mawazo mapya nini chakufanya,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.