Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Tafadhali Naomba Msaada kwa aliomba kozi za Diploma sioni maelekezo wala ujumbe kwenye barua pepe kwamba nitajibiwa lini na mara ninapofungua nakutana na hii Hali hapa chini, je nitumie njia gani...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wale wa tia naombeni mnieleweshe mazingira ya tia mbeya itakuwa mara ya kwanza kwenda huo mkoa
1 Reactions
17 Replies
5K Views
Kwa wale tuliochaguliwa diplma ya nursing kcmc tujulishane join instrction
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Baada ya kusubiri sana hatimaye maombi yangu ya kumiliki usafiri binafsi yamefunguka
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Ajira za walimu
1 Reactions
17 Replies
7K Views
weka no yako simu tukutane watsapp tuweze shauriana tufanye vipi kwa maandalishi ya elimu yetu kukamilisha malengo yetu
1 Reactions
9 Replies
901 Views
Jaman mpo humu ndan
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani mimi ni muhitimu wa chuo kikuu na nimemaliza mwaka 2010,nilibahitika kupata mkopo Kwa mwaka mmoja tu wa degree yangu ya miaka 4.Lakini cha ajabu nimeletewa deni la miaka yote minne, Wakati...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Mh; Waziri kuna tabia inayoendelea nchini katika sekta ya elimu na kama hamjaijua ngoja nikupashe habari kamili. Inahusu vyeti toka nje ya nchi. Mh. Waziri msiishie kuangalia wafanyakazi hewa tu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa wale wapenzi wa audiobook tunaomba tusaidiane kushare best audiobook uliyowahi sikiliza na kama inawezekana kushare link ambayo tunaeza kupata hizo audiobook kwa urahisi.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani mwenye Taarifa kuhusu TCU atupe ubuyu bas
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari wakuu,,,,wakuu naombeni ushauri wenu nasoma pcb shule mojawapo dar hivyo nlkuwa naomba ushauri jinsi ya kusoma na kufaulu vema hasa kwa kuwa mimi niko day school,,
0 Reactions
6 Replies
4K Views
MIMI NIMECHAGULIWA KOZI HIYO CHUO HICHO NINAOMBA KWA ANAYEJUA BASI ANIJUZE YAFUATAYO. - JE HII KOZI NDO INAANZA KWA CHUO HICHO AU ILISHAGAANZA? - JOINING ISTRUCTIONS AU ADMISSION LETTER HUWA...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habarin za uzma wana jf, naomba kuuliza naweza kutransfer kutoka musoma utalii koz ICT kwenda afya kusoma certificate of clinical medicine?
1 Reactions
1 Replies
689 Views
Majority leo wapo makini kusubiri selection zao,,Je upo first selection or not? tusikilizie[emoji30] [emoji30]
5 Reactions
68 Replies
7K Views
jamani ni lini TCU wataweka wazi majina ya undergraduate 2016/2017 mana watu presha juu sasa Jana wakakinukisha kisha wakazima msaada tafadhal
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Ndugu wanaforum kijana wangu amehitimu f4 anahitaji kujiunga na masomo ya Nursing ila hajasoma phisics, je anaweza pata? Kwa anayejua anijuze.
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Niliaply nacte vyuo vya afya nika chaguliwa musoma utalii college,inawezekana kufanya transfer? ,
0 Reactions
2 Replies
681 Views
habari wadau wa JF... wakati mwingine tuweni makini na vyuo tunavyoenda kusoma hasa hivi vya private ....Haya maneno niliyoyataja hapo juu yananimix kwan nimejaribu Kuchek orodha ya vyuo kwenye...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Jaman naomben kuuliza,hiv ukichanganya wino mfano kwenye GS ukaandika point yako kwa wino mweusi alafu maelezo kwa wino wa blue nini matokeo yake?
1 Reactions
34 Replies
3K Views
Back
Top Bottom