Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Nimemaliza cozi ya miaka 3 Veta katika cozi ya auto erection kwa levo 3 nataka kujiendereza kusoma nifanye nini please nijulisheni
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naibu Waziri wa TAMISEMI Selemani Jaffo asema wahitimu shahada za sayansi ambao si walimu kupatiwa mafunzo maalum wakafundishe na wale wa sanaa ambao hawatapata nafasi sekondari watafundisha shule...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
jana niliambiwa selections zimetoka lakini nikajaribu sikubahatika hata kuona student not found..mara nikasikia link imefungwa...mara tcu wame'deactivate tovuti yao..lakini hapa jukwaani naona...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari wakuu! kama mnavyoona katika tittle yangu kuwa nimekosa awamu ya kwanza ya machaguo ya vyuo ambavyo ninavyohitaji. Ila kwa sasa najipanga kuapply kwa awamu ya pili lakin sijui...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mie nimefanikiwa kuangalia nimekuta nimechaguliwa HV zimevuja au ni za Ukweli??????
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Mambo muhimu yanayochangia mtoto kupata elimu, yaani : (1) ajue kusoma na kuandika, (2) hisabati msingi (3) elimu ya maarifa mbalimbali kwa maisha ya umri wake. Yafuatayo yachukuliwe kuwa ni...
0 Reactions
0 Replies
618 Views
Pole sana ndugu na jamaa mnaoteseka katika nchi yenu. Maumivu yenu ni maumivu yangu pia, Najua mlikuwa na malengo mazito ila binadamu sio wa kuamini hata kidogo. Nimeshuhudia mkijaribu kutafuta pa...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Hivi in topic gan ya physics uliyosoma form 5 na 6 ukiisikia ikitajwa hata kama ni ndotoni unakurupuka kwa kiwewe!!!!
2 Reactions
115 Replies
14K Views
First selection nacte Kuna ndugu yangu kwenye profile yake Kuna chuo kachaguliwa certificate ya ualimu primary chuo kimoja kipo morogoro, baada ya Muda kapigiwa simu na chuo kingine kutoka dar...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habar wakuu.. TCU mbona inazingua sana kufunguka na nyie wenzangu ni hivo? Au kuna link special ya kuingilia? Kama IPO ntumien wadau maana hapa ful pressure
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamn kila kukicha nasubir labda leo,,,,, labda kesho, na hasa tangazo lao ndo lilinichanganya kabisa,,!!!!
7 Reactions
173 Replies
17K Views
habari wakuu!kama mnavyoona katika tittle yangu kuwa ninekosa awamu ya kwanza ya machaguo ya vyuo ambavyo ninavyohitaji.ila kwa sasa najipanga kuapply kwa awamu ya pili lakin sijui kitu gani...
0 Reactions
0 Replies
685 Views
..Nimekua nikifuatilia kwa mda malalamiko na hofu za hawa ndugu zetu walioapply vyuo mwaka huu....nikupeni moyo tuu MTACHAGULIWA NA CHUO MTAENDA..inshaalaah nakukumbukeni hata kwenye DUA zangu...
3 Reactions
0 Replies
792 Views
Nasoma katk shule y sekondari kigurunyembe mkoan morogoro kidato cha tano combnatn y CBG..Natafuta hostel iliyo karibu na maeneo yale au hta km nikiwa n panda gari moja kila sku n vema pia..Kwa...
0 Reactions
0 Replies
631 Views
machaguo ya vyuo nacte tayari cheki profile yako
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Kwann tcu wanatufanyia ivi lakin pesa tumelipia bado presha wanatupa ama kweli hii ndo Tanzania #TCUMUNGUANAWAONA
0 Reactions
4 Replies
717 Views
Inawahusu wenye coz ya education kwenye degree zao. Nimekua nikijiuliza kama kuna tofauti ya mishahara kwa waajiriwa kutokana na vyuo walivyosoma labda Udom, saut,Mkwawa,Udsm,Sua,Mzumbe,n.k...
2 Reactions
46 Replies
12K Views
The development of Information communication technology ICT has propelled spread of HIV ASANTEN
0 Reactions
20 Replies
2K Views
habarini wandugu!kureseat somo moja tu mtihani wa csee inawezekana?na kama inawezekana matokeo mapya yanaunganishwa vp na motokeo ya mwanzo asanteni?
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom